Kibaya zaidi hana mission wala vision, binafsi nimemshusha thamani kwa kuwa mtangulizi wake aliweka misingi yeye kaja na ubabaishaji mwingi. Mara Maboresho, mara kubadili jezi mara kufukuza timu iliyofanya kazi na Tenga. Amejaa fitna tu. Kazi ikifanyika matunda huonekana hadharani sio kama hivi kila siku tunarudi nyuma kwa kasi ya roketi!!!!