Malipo kwa wanawake ni ndoto!

Malipo kwa wanawake ni ndoto!

jastertz

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
407
Reaction score
768
Wanawake shida yenu ni nini? Hawa wasimbe watawapoteza. Yaani mtu ajitafute, apate kazi, anunue kiwanja, ajenge kwa gharama na kwa ugumu, akutongoze, akulipie mahari akuoe akuweke ndani akutunze na bado akulipe?

Upo zako mzigoni unapigiwa simu, njoo uwapikie watoto wako mke wako kagoma kupika hujamlipa mshahara wa Agosti.

Wee, labda tulambe transforma hamna atakelipwa, labda uolewe uwe unatokea kwenu kama shule ya day🤣🤣🤣🤣.
 
wanawake shida yenu ni nini. Hawa wasimbe watawapoteza.
yaani mtu ajitafute, apate kazi, anunue kiwanja, ajenge kwa gharama na kwa ugumu, akutongoze, akulipie mahari akuoe akuweke ndani akutunze na bado akulipe..???????

wee labda tulambe transforma hamna atakelipwa... labda uolewe uwe unatokea kwenu kama shule ya day[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakika ni wazo la kijinga. Wasimbe wanataka kuwaponza wenzao walio katika ndoa ili nao waachike!! Yale yale ya msimbe JOYCE KIRIA kuwapotosha wanawake.
 
424E1CD6-442B-45A0-9479-BBF93AFF4099.jpeg
 
Nimekuja kugundua sasa hivi familia nyingi wanaoleta mahitaji na kuhudumia watoto ni wanawake sema tu wengi hawasemi wanawafichia aibu waume zao, na wanaume wamebaki kujitetea kwa kutembea mule mule kwenye ile mentality ya watu wengi kwamba mwanaume ndiye mtafutaji na ndiye anayehudumia familia ilihali kwenye familia nyingi huo si uhalisia, lakini lazima mtambue kwamba kama mwanamke naye anatafuta pesa basi hana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani hizo ni kazi za mama wa nyumbani tu anayehudumiwa na mumewe
 
Nimekuja kugundua sasa hivi familia nyingi wanaoleta mahitaji na kuhudumia watoto ni wanawake sema tu wengi hawasemi wanawafichia aibu waume zao, na wanaume wamebaki kujitetea kwa kutembea mule mule kwenye ile mentality ya watu wengi kwamba mwanaume ndiye mtafutaji na ndiye anayehudumia familia ilihali kwenye familia nyingi huo si uhalisia, lakini lazima mtambue kwamba kama mwanamke naye anatafuta pesa basi hana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani hizo ni kazi za mama wa nyumbani tu anayehudumiwa na mumewe
labda huko kwenu huku sijaona
 
Wanawake shida yenu ni nini. Hawa wasimbe watawapoteza. Yaani mtu ajitafute, apate kazi, anunue kiwanja, ajenge kwa gharama na kwa ugumu, akutongoze, akulipie mahari akuoe akuweke ndani akutunze na bado akulipe..???????

Wee labda tulambe transforma hamna atakelipwa... labda uolewe uwe unatokea kwenu kama shule ya day🤣🤣🤣🤣
Tulipoanza kukosea pale tunapowabeba ile siku,sasa wamekuja wengine ndio wanazidi kuharibu kabisa mpaka pete mnawavisha kwa kupiga goti,wacha tukione cha moto,mambo mengine tumeyataka wenyewe...
 
Back
Top Bottom