Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Hiyo ni Tanzania nzima bwashee labda kama wewe kwenu ni Eswatinilabda huko kwenu huku sijaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni Tanzania nzima bwashee labda kama wewe kwenu ni Eswatinilabda huko kwenu huku sijaona
Wanawake wa sayari ipi mkuu?Nimekuja kugundua sasa hivi familia nyingi wanaoleta mahitaji na kuhudumia watoto ni wanawake sema tu wengi hawasemi wanawafichia aibu waume zao, na wanaume wamebaki kujitetea kwa kutembea mule mule kwenye ile mentality ya watu wengi kwamba mwanaume ndiye mtafutaji na ndiye anayehudumia familia ilihali kwenye familia nyingi huo si uhalisia, lakini lazima mtambue kwamba kama mwanamke naye anatafuta pesa basi hana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani hizo ni kazi za mama wa nyumbani tu anayehudumiwa na mumewe
NAKAZIAkataa ndoa
ila wanasukumwa na watu fulani wasio kuwa na ndoaTulipoanza kukosea pale tunapowabeba ile siku,sasa wamekuja wengine ndio wanazidi kuharibu kabisa mpaka pete mnawavisha kwa kupiga goti,wacha tukione cha moto mambo mengine tumeyataka wenyewe...
Mwaga ukweli. Wabishi waelewe.nimalizie ?
hii umeamua mwenyew haina shida.. ila sio yeye ndo aamueHiyo ishu kuna watu wanafanya serious na mke anadai chake kabsa,jamaa yangu alimwachisha mke wake kazi na kutaka akae nyumbani mkewe alikuwa analipwa 300k..so jamaa ndo anamlipa hyo mkewe kila mwisho wa mwezi na matumizi yapo pale pale pamoja na kumhudumia yaan hela za kusuka nguo kila kitu lkn 300k ipo pale pale
Waambie hao,Hiyo ishu kuna watu wanafanya serious na mke anadai chake kabsa,jamaa yangu alimwachisha mke wake kazi na kutaka akae nyumbani mkewe alikuwa analipwa 300k..so jamaa ndo anamlipa hyo mkewe kila mwisho wa mwezi na matumizi yapo pale pale pamoja na kumhudumia yaan hela za kusuka nguo kila kitu lkn 300k ipo pale pale
Akinuna tunafyeka mshaharaSafi kabisa! wazo zuri.Kikubwa itungwe na sheria ya kumlinda mteja pale anapotoa kiasi chake cha fedha basi apatiwe huduma bora.
Utapelekaje ushahidi kwenye vyombo vya kisheria kuwa hukupewa huduma bora endapo hilo litajitokeza?Safi kabisa! wazo zuri.Kikubwa itungwe na sheria ya kumlinda mteja pale anapotoa kiasi chake cha fedha basi apatiwe huduma bora.