Malipo kwa wenyeviti na wenezi CCM (wilaya, mkoa na taifa)

Malipo kwa wenyeviti na wenezi CCM (wilaya, mkoa na taifa)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wakuu, Kwema?

Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
 
Mwenyekiti sio mtendaji au mwajiriwa wa CHAMA hivyo chama hakiwajibiki kwa vyovyote juu ya malipo yao na kama kulipwa wanalipwa posho tu.

Sio wenyeviti ,nafasi zingine pia wajumbe wa halmashauri kuu kwa ngazi
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Kumbe wanashinda kutukana humu kwa sababu ya twenti??
 
Hilo suala kabla hatujalijadili kwanini hamtumii mbinu kama mnazotumia kuingiza kura zilizopigwa tayari siku za uchaguzi na kusema mshindi kashinda kura za kishindo?
 
Wanapata fedha nyingi wakatika wa uchaguzi kutoka.kwa wagombe. Hata hivyo wabunge huwapooza na posho kutoka mfukonwa jimbo mara kwa mara.

Halikadhalika posho na semina mbalimbali za serikali katika maeneo yao pia huwapitia.

Ukienda kufanya semina wilayani majina yao lazima yawemo hata kama hawatahudhuria semina
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Suggestion number 1 uliyotoa hapo juu yaweza fanywa na Nchi ya watu wasio na akili.
DAS awe analipa posho ya viongozi wa CCM. Na wale wa vyama vingine nao watalipwa na nani?
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Mema yote mnayokula bado hamridhiki? Si kazi za kuomba hizo na huwa mnauana kugombea kura?

Kama unajua elfu 20 haikutoshi unagombea nini?
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Kuwa Mwanaccm, ni imanii, chama hakiongozwi Kwa kulipwa fedha nyingi, zaidi mwanachama anapaswa akitumikie Kwa moyo wote, kama vile kwenye nyumba za ibada tunatoa sadaka Kwa Imani, Wala hatulipwi sisi, Bali wanalipwa wachache, na Imani inasonga mbelee, hivyo kuwa Mwanaccm hakutofautiani na imanii. Tunakitumikia chama chetu Cha mapinduzi Kwa nguvu Moja, na furaha yetu nikuona KINAENDELEA kushika Dola na kutawala milele, ili Tanzania isongembele kimaendeleo.
 
Kuwa Mwanaccm, ni imanii, chama hakiongozwi Kwa kulipwa fedha nyingi, zaidi mwanachama anapaswa akitumikie Kwa moyo wote, kama vile kwenye nyumba za ibada tunatoa sadaka Kwa Imani, Wala hatulipwi sisi, Bali wanalipwa wachache, na Imani inasonga mbelee, hivyo kuwa Mwanaccm hakutofautiani na imanii. Tunakitumikia chama chetu Cha mapinduzi Kwa nguvu Moja, na furaha yetu nikuona KINAENDELEA kushika Dola na kutawala milele, ili Tanzania isongembele kimaendeleo.
Mwandiko wako kama wa Lucas Mwashambwa
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Wenyeviti wa CCM hawalipwi mishahara bali wanalipwa posho.
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
Hizo ni nafasi za kujitolea hazihitaji mtu mwenye NJAA
 
Wakuu, Kwema?
Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.
unamlilia nani sasa wewe pambana na hali yako,hayo malipo ya makatibu wenezi sijui sisi JF yanatuhusi nini,tumia kichwa kuanzisha nyuzi JF na sio kutumia MAKALIO
 
Back
Top Bottom