Malipo kwa wenyeviti na wenezi CCM (wilaya, mkoa na taifa)

Malipo kwa wenyeviti na wenezi CCM (wilaya, mkoa na taifa)

Bora ungekaa kimya tu, tukaendelea kudhani una akili japo kidogo!
Kumbe wewe ni pumba.vu hivi!!!
CCM kumejaa watu wajinga wajinga sana!
Jitu zima halijui hata kama Nchi iko ktk mfumo wa Vyama vingi na wala halijui hata mipaka ya Chama na Serikali!
Yaani ujinga hadi aibu naona Mimi!!!
 
Kama ni hivyo mbona wakipata hivyo vyeo huwa na maendeleo ya ghafla, vitambi nk, tusaidie hayo maendeleo utoka wapi?
Sijafuatilia hili - kumbuka wapo wanaonenepa bila kuwa na madaraka yoyote
 
Kuwa Mwanaccm, ni imanii, chama hakiongozwi Kwa kulipwa fedha nyingi, zaidi mwanachama anapaswa akitumikie Kwa moyo wote, kama vile kwenye nyumba za ibada tunatoa sadaka Kwa Imani, Wala hatulipwi sisi, Bali wanalipwa wachache, na Imani inasonga mbelee, hivyo kuwa Mwanaccm hakutofautiani na imanii. Tunakitumikia chama chetu Cha mapinduzi Kwa nguvu Moja, na furaha yetu nikuona KINAENDELEA kushika Dola na kutawala milele, ili Tanzania isongembele kimaendeleo.
Sawa,
Tofauti ya Imani ya kidini ni kwamba muumini anaamini atalipwa mbinguni "ufalme"; ila kwenye chama hakuna phrase hiyo.

Nabaki kukiomba CCM kutizama nafasi hizo mbili
 
Wakuu, Kwema?

Huwa tunajadili mengi sana yenye tija kwa chama, Serikali na Jamii. Hii ni akili na matendo ya kiungwana sana.

Sasa leo naomba tukubaliane jambo dogo tu linalohusu wenyeviti, na wenezi wa wilaya na Mkoa

Ni huzuni kuona viongozi hawa kwa namna wanavyokiwezesha chama kubaki madarakani wakiwa hawana malipo sawa na makatibu wa Chama na Jumuiya. Kama sikosei Mwenyekiti wa Wilaya hulipwa tshs 50,000 kwa mwezi huku mwenezi akilipwa tshs 20,000/= kwangu mimi naona hii si nzuri kbs na uongozi wa CCM unapaswa kuangalia upya juu ya hili ili kazi zinazofanywa na viongozi hawa ziweze kuthaminiwa.

Ushauri wa jinsi ya kuwalipa wenyeviti na wenezi
(a). Fedha zao zikasimiwe kwenye mafungu ya self-help scheme au political vote za makatibu Tawala Wilaya;

(b). Fedha za maendeleo ya Jimbo - ambapo ndani ya fungu hili yatatolewa maagizo mahsusi toka Wizara ya Fedha kama ilivyofanyika kwenye Hospitali za Rufaa za Mikoa;

(c). Ruzuku ya Chama - kwamba kila zinapolipwe fedha kwa makatibu basi na wenyeviti na wenezi walipwe sawia.

Nimeshauri hivi kutokana na ukubwa wa kazi wanazofanya kila siku kwa miaka mitano ya kazi.

Nawasilisha.

Msakila M. Kabende
Kakonko - Kigoma
Tanzania.

CCM ni janga ujue.
Hii mada mngeenda kushauriana kwenye whatsapp zenu kwa sababu tija yake kwa taifa haipo
 
Sawa,
Tofauti ya Imani ya kidini ni kwamba muumini anaamini atalipwa mbinguni "ufalme"; ila kwenye chama hakuna phrase hiyo.

Nabaki kukiomba CCM kutizama nafasi hizo mbili
Na sisi wanaCCM tunaamini ushindi wa chama chetu Kila uchaguzi ndiofahari yetu. CCM ni Imani, na itatumikiwa na wenyeimani thabiti, bila kujali wanalipwa au laaa. CCM sio maslahi, apanaaa.
 
Na sisi wanaCCM tunaamini ushindi wa chama chetu Kila uchaguzi ndiofahari yetu. CCM ni Imani, na itatumikiwa na wenyeimani thabiti, bila kujali wanalipwa au laaa. CCM sio maslahi, apanaaa.
Eti ccm ni imani. Kalagha baho.....wenzako wanatusua mapesa we umekalia maneno matupu. Wakujuu zako utawaachia umaskini tu
 
Eti ccm ni imani. Kalagha baho.....wenzako wanatusua mapesa we umekalia maneno matupu. Wakujuu zako utawaachia umaskini tu
Hata kwenye Imani za dini viongozi wanatusua mapesa lakini waumini hawalalamiki, Kwa kuwa ni imanii, angalia viongozi wadini walivyo na mafanikio makubwaa na huku waumini wao wakibakiwa na Imani thabiti, kwani umeona msikiti au kanisa linafungwa au waumini wanalalamika? Hivyo kuwa Mwanaccm, ni Imani thabiti, inayotakiwa uitumikie sio Imani ikitumikieee. Ndio MAANA CCM haiteteleki hata kama itapitia misukosuko gani, lakini mwisho wa siku chama kinabaki imala zaidi. Ni tofauti na vyama vyenu mlivyovijenga kwenye misingi ya ulaji, fedha ndogo tuu inawagombanisha adi mnasambaratika. Karibu CCM uwe na Imani thabiti.
 
Kuwa Mwanaccm, ni imanii, chama hakiongozwi Kwa kulipwa fedha nyingi, zaidi mwanachama anapaswa akitumikie Kwa moyo wote, kama vile kwenye nyumba za ibada tunatoa sadaka Kwa Imani, Wala hatulipwi sisi, Bali wanalipwa wachache, na Imani inasonga mbelee, hivyo kuwa Mwanaccm hakutofautiani na imanii. Tunakitumikia chama chetu Cha mapinduzi Kwa nguvu Moja, na furaha yetu nikuona KINAENDELEA kushika Dola na kutawala milele, ili Tanzania isongembele kimaendeleo.
Na kuwashangilia wale walnaopita na mavieite barabarani !!
 
Na kuwashangilia wale walnaopita na mavieite barabarani !!
Kwani kwenye Imani zetu za dini, viongozi hawafanikiwiii?? Acha wivu, angalia kiongozi wako wadini kama nimasikini kama wewe, na kama nimasikini kama wewe ujue Hilo dini lenu mnalaana. Hivyo nilazima tuwashangilie wenye V8 zao kwani ndio nafasi Yao, CCM itajengwa na wenyeimani sio wasakatonge. Ndio MAANA kwenyeccm ukitanguliza uchu wa fedha unashugulikiwa Kwa adhabuu kubwaa, kwani sisi kwenyechama tunatanguliza UTUMISHI wa kukitumikia chama kwanzaa. Umeeelewaa??
 
Hata kwenye Imani za dini viongozi wanatusua mapesa lakini waumini hawalalamiki, Kwa kuwa ni imanii, angalia viongozi wadini walivyo na mafanikio makubwaa na huku waumini wao wakibakiwa na Imani thabiti, kwani umeona msikiti au kanisa linafungwa au waumini wanalalamika? Hivyo kuwa Mwanaccm, ni Imani thabiti, inayotakiwa uitumikie sio Imani ikitumikieee. Ndio MAANA CCM haiteteleki hata kama itapitia misukosuko gani, lakini mwisho wa siku chama kinabaki imala zaidi. Ni tofauti na vyama vyenu mlivyovijenga kwenye misingi ya ulaji, fedha ndogo tuu inawagombanisha adi mnasambaratika. Karibu CCM uwe na Imani thabiti.
Nikaribie ccm kuwa mchawi?
 
Sijui Kwa nini watu wa CCM wengi mnawaza ujinga Kila siku? Mnajiona mna haki na fedha za Wananchi wenzenu ambazo hamzifanyii kazi yoyote. Kwa Kazi gani mnazowafanyia Wananchi nyie wenyeviti na waenezi wa CCM mstahili kulipwa fedha zào?
 
Back
Top Bottom