Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
1-pesa ya taka
Kwa dar hii pesa ya taka inakusanywa kiholela Ina tagemea na eneo kuna wanalipa 2000---mpaka 7000 pesa za wavuja jasho zipigwa n'a kikund Cha Watu wachache hakuna anaehoji
2-pesa za ulinzi shirikishi .
pesa zinakusanywa kiholela na watuu wanalipa tu .
Kodi tunalipa halafu Kuna michango Mingi ya hovyo.
Kama michango inalipwa serikali ije full informations n'a
Vijana wanaohusika kubeba taka n'a ulinzi Iwe ni Kaz rasmi waangie kwenye payroll hâta kama watakua wachache na mishahara kiduchu Iwe hivyo
tatiZo watanzania wengi hatuna Tabia ya kuhoji tunatengeneza kizaz Cha ushabiki WA Simba na yanga tu .
Nenda denimark uone mambo yanavyoenda. Wananch wananguvu ya kuhoji mambo na viongozi hawAfanyi masihara manake wanajua wakizingua tu watu watakuja n'a watawaondoa madarakani.
Kwa dar hii pesa ya taka inakusanywa kiholela Ina tagemea na eneo kuna wanalipa 2000---mpaka 7000 pesa za wavuja jasho zipigwa n'a kikund Cha Watu wachache hakuna anaehoji
2-pesa za ulinzi shirikishi .
pesa zinakusanywa kiholela na watuu wanalipa tu .
Kodi tunalipa halafu Kuna michango Mingi ya hovyo.
Kama michango inalipwa serikali ije full informations n'a
Vijana wanaohusika kubeba taka n'a ulinzi Iwe ni Kaz rasmi waangie kwenye payroll hâta kama watakua wachache na mishahara kiduchu Iwe hivyo
tatiZo watanzania wengi hatuna Tabia ya kuhoji tunatengeneza kizaz Cha ushabiki WA Simba na yanga tu .
Nenda denimark uone mambo yanavyoenda. Wananch wananguvu ya kuhoji mambo na viongozi hawAfanyi masihara manake wanajua wakizingua tu watu watakuja n'a watawaondoa madarakani.