Malipo wanayolipwa wasanii wa marekan kwa show moja haya hapa

Malipo wanayolipwa wasanii wa marekan kwa show moja haya hapa

hizo za madorali ya mamilioni ni kwa special occasion, yaani kwa mfani msanii hana ratiba ya show halafu unamwita kwako au kwdnye very limited arena for exclusive people not like uuuuu...
 
hizo za madorali ya mamilioni ni kwa special occasion, yaani kwa mfani msanii hana ratiba ya show halafu unamwita kwako au kwdnye very limited arena for exclusive people not like uuuuu...

upo sahihi mkuu,tumekusoma
 
sijashindanisha wasanii wanaoongoza kwa kulipwa bali nimetaja malipo ya baaz tu,soma kichwa cha habari usikulupuke kama uamsho

ila kichwa cha habari hakisemi ni baadhi ya wasanii... kwanini ulete nusunusu???
 
RICK ROSE HULIPWA KIASI CHA DOLA $100,000 KWA SHOW MOJA lakini AKIWA NA Mac Miller HULIPWA HADI DOLA $155,000 KWA SHOW AMBAZO
NI SAWA NA TSH.250,000 (MILIONI MIA MBILI HAMSINI ZA KITANZANIA)

ORODHA YA KIASI WALIPWACHO WASANII WAKUBWA KWA SHOW MOJA.

  1. #1 Kanye West – $3 million sweet 16
  2. #1 Jay-Z – $3 million sweet 16
  3. #2 Eminem – $3.3 million for two nights at UK festival ($66k per song)
  4. #3 50 Cent – $2 million for Gadafi’s son (later donated to charity)
  5. #4 Rihanna – $800,000
  6. #5 Lil Wayne – $500,000
  7. #6 Drake – $155,000
  8. #7 Nicki Minaj – $150,000
  9. #8 Akon – $120,000
  10. #9 T.I. – $110,000
  11. #10 Snoop Dogg – $105,000
  12. #11 Rick Ross – $100,000
  13. #12 Ludacris -$90,000
  14. #13 Pitbull – $85,000
  15. #14 B.o.B – $80,000
  16. #15 Wiz Khalifa – $75,000

Vip wakija Bongo huwa wanamvuna sh ngap RUGE!
 
We uliandika hapa acha ushamba kuna watu ndo wanaongoza kama taylor swift beyonce adele carrie underwood kenny rodgers
 
Back
Top Bottom