Malipo ya fidia ya Kipunguni yatua Bungeni nani anakwamisha? Tuikae CCM

Malipo ya fidia ya Kipunguni yatua Bungeni nani anakwamisha? Tuikae CCM

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Ni aibu iliyoje kwa serikali kushindwa kulipa fidia Kipunguni kwa kipindi cha miaka 27 na zaidi. Je, mwenye kustahili kuwajibika Waziri wa fedha, Uchukuzi, TAA au Rais na mwenyekiti wa CCM, tuambiwe.

Waziri Mkuu ingilia kati kuna mchezo mchafu. Mbunge Kamoli amelisemea sana sasa joma na iwe noma.Watu wamebomoa nyumba zao na wwengine kuhamisha wapangaji je wataishije? Huu ni unyanyasaji haiwezekani, tunataka malipo yetu vinginevyo eneo hili mmepoteza kura.
 
Daah umenikumbusha ngoja nimalizie majiyangu hapa banana niwahi kupita hapa air Wing wale jamaa wanazingua sana ukichelewa mida mida.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ni aibu iliyoje kwa serikali kushindwa kulipa fidia Kipunguni kwa kipindi cha miaka 27 na zaidi. je mwenye kustahili kuwajibika Waziri wa fedha,Uchukuzi,TAA au Rais na mwenyekiti wa CCM,tuambiwe. Waziri Mkuu ingilia kati kuna mchezo mchafu.Mbunge Kamoli amelisemea sana sasa joma na iwe noma.Watu wamebomoa nyumba zao na wwengine kuhamisha wapangaji je wataishije? huu ni unyanyasaji haiwezekani,tunataka malipo yetu vinginevyo eneo hili mmepoteza kura.
HAMLIPWI NG'OOO SUBIRINI TENA MIAKA KAMA HIYO CCM inashughulikia Uchaguzi
 
Mpaka aliyenunua eneo Hilo bibi yangu kafarik bila kulipwa..
 

Attachments

  • FB_IMG_1715061894916.jpg
    FB_IMG_1715061894916.jpg
    43.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom