Brigit86
Member
- Feb 26, 2018
- 47
- 59
Habari zenu wadau. Poleni na majukumu. Nna trekta nakaribia kukamilisha ununuzi wake rasmi kwa ajili ya kuchapa kazi na mpango wangu ni kulikodisha kwa wadau wataolima kwa kutumia trekta naomba mwongozo kwa wenye experience na eneo hili je malipo kwa heka ni kiasi gani na kuhusu maintenance ya chombo ni kipi nizingatie na kama kuna ya ziada naomba tuelimishane.
Nawasikiliza na Mungu awabariki kwa mda na mawazo mtakayonipa 🙏🏿
Nawasikiliza na Mungu awabariki kwa mda na mawazo mtakayonipa 🙏🏿