Mvomero kulima heka moja shamba la mpunga ni Tsh 40,000, shamba likiwa jipya au liliachwa kulima zaid ya mwaka tunaita kukatua ni Tsh 45,000, kulima kwa kutumia harrow ni 35,000, kupiga rija ni 35,000, kulima shamba la mahindi ni 30,000 hadi 40,000 kwasababu ulimaji wa mashamba ya mpunga na mahindi mashamba yanatofautiana. Na Malipo ya operator wa trekta huwa 5,000 hadi 7,000 kwa kila heka. Heka moja kwa trekta la 4 wheel akilima bila kutumia 4 wheel huwa linatumia mafuta kiasi gani shamba la mpunga na mahindi na shamba la mahindi watakuja wadau wengine