Elections 2010 Malipo ya Salma Kikwete yazua utata!

" On board, on board, First lady, first lady!" kwa maana kwamba wamembeba mke wa raisi na siyo abiria wengine kama ilivyo zoeleka.

kwani mke waRAIS anitwa nani..?? Nataka kujua kwani nchi haina rais kwa sasa,....??!! sibishi nataka kujuwa tu.. ! sababu sifahamu kama kipindi hiki cha kampeni JK sio rais tena au ni mwananchi wa kawaida kama mimi ??!
 
kwani mke waRAIS anitwa nani..?? Nataka kujua kwani nchi haina rais kwa sasa,....??!! sibishi nataka kujuwa tu.. ! sababu sifahamu kama kipindi hiki cha kampeni JK sio rais tena au ni mwananchi wa kawaida kama mimi ??!

First lady ni institution na kama mumewe anavyoitwa Rais ila swala ni kwamba mama salma ni raia kama mimi na wewe anatakikana kama anaenda katika safari binafsi heshima za ufirst lady zinawekwa pembeni yeye ni kama rais. Sasa kampeni za CCM ni safari za kiserikali???? Pili pesa za kampeni zimeainishwa na mchakato mzima NEC mbona na yeye hakujumuishwa katika hizo hesabu kama ni mgombea. Vilevile mapokezi ya mama salma ni kama amekuja safari ya kikazi jambo ambalo linadhihirisha ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Ndege serikali itakuwa imelipa (siamini anachokisema kinana), gharama za huko serikali imelipa. Matumizi mengineyo ya serikali za mitaa ni pesa za umma yote kwaajili ya nini kupiga kampeni. huh!!!
 
Tundu Lisu, mama huyu ashitakiwe kabisa, huu ni upuuzi. Utakuta mtu na akili zake eti bado anakosoa upinzani, huyu atakuwa mpumbavu a bit.
Mpumbavu hata ukimuelimisha haelewi, hata kama anaona vitendo mwenyewe.

Mtu wa akili timamu hutakiwi kuwa mpumbavu kama CCM, hata aibu haina.
 
Naambiwa na walioko mjini kuwa Mwanahalisi kwishnei mtaani!!! mbona ajabu!
Kwa wale ambao kwa sababu moja ama nyingine hawajafanikiwa kupata nakala mwanahalisi mpaka sasa wanaweza kupata habari muhimu ikiwemo ya First Lady Wao hapa chni:
Gazeti la MwanaHalisi
 
Mie nafikiri CCM wasingejibu maana all in all she still a first lady and she will be the first lady until another president swear in, so I think she still entitled all the first lady benefits. Changanya na zako
 
tuwekeeni japo headline, nipo denmark, ninakuja hapo 28.10.2010 kupiga kura kwa Dr silaa, hata majaji na UWT wananmpigia chapuo.
 
Mwanahalisi ya leo ina headings zifuatazo: Malipo ya Salma utata., Takukuru mshauri wa CCM, Pia kuna makala ya Ndimara Tegambage inasema: Kikwete, kura na watuhumiwa ufisadi, Joster Mwangulumbi anachambua: Kinana mwongo au Msahaulifu? Mbasha Asenga anauliza: Kwa mabango haya, hofu au JK hajulikani? Mwanakijiji anasema: Kama wao hawawezi, wengine wanaweza. Na Saed Kubenea anasema: Makundi CCM yatokana na maslahi binafsi. Haya hiyo ndiyo summary kwa ufupi kuhusu headings na makala kwenye gaeti la MwanaHalisi
 
Jamani kama inawezekana Kubenea na timu yake waambiwe ku update website timely. We can pay for this service (eg monthly subscription). kuna maeneo ambayo hard copies hazifiki
 
Gazeti lipo mtaani kama kawa, ila kwa kweli story ya leo headline baridi, lkn ni kali sana na ikifanyiwa kazi kidogo ni scandal kubwa
 
wekeni dondoo basi mliolipata. Mm mwenyewe sikuliwahi.
 
That is just 0.1 percent of forgery that goes on every day in this government. Can you imagine how many government offices will burn down after Dr. Slaa takes over State House?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…