Elections 2010 Malipo ya Salma Kikwete yazua utata!

Mie nafikiri CCM wasingejibu maana all in all she still a first lady and she will be the first lady until another president swear in, so I think she still entitled all the first lady benefits. Changanya na zako

Wewe unazijua benefit za First Lady au unajisemea tu ili utoe mchango JF??
 
Mimi nilisema hapa siku moja, siku Kikwete akiondoka madarakani (kama ni mwaka huu au mwaka wowote kwa siku zijazo) na kisha uchunguzi huru wa matumizi ya fedha ukafanyika, watanzania watalia na kusaga meno.

Huyu bana na familia yake wanafilisi nchi na watu wanashangilia tu.
 
kwani mke waRAIS anitwa nani..?? Nataka kujua kwani nchi haina rais kwa sasa,....??!! sibishi nataka kujuwa tu.. ! sababu sifahamu kama kipindi hiki cha kampeni JK sio rais tena au ni mwananchi wa kawaida kama mimi ??!

mmmhh sina uhakika ila huwa nasikia wanasema mgombea urais kwa tkt ya chama ..... au wanataja jina tu .. hawasemi raisi .........
so kwa maana hiyo hata first lady haitakiwi kuitwa hivyo
 
Nashukuru kwa uchambuzi huu wa Kubenea. inabidi vyama vya ushindani vipinge kwa nguvu zote matumizi haya. Kwa wale wanaowataka Chadema wafungue kesi kwa kweli hii ni kuopgopa sisi wenyewe kuchukua hatua. Madhali ukweli umejulikana kwa nini wewe na mimi tusichukue hatua? Tusipende kuwataka wengine wachukue hatua kwa niaba yetu tusiwe kama msemo wa Kihaya usemao Kitandugaho yaani lisilote kwangu au kama tunakumbuka hadithi za darasa la pili ya "Sio Mimi". Tuna jukumu la kufanya mabadiliko katika nchi yetu bila kungojea wengine. Chadema na washindani wengine wako katika kampeni je sisi tunafanya nini? Kwa upande wangu nimefungua kesi dhidi ya mikataba yote ya madini, je wewe umechukua hatua gani Mtanzania mwenzangu?
 
Wewe unazijua benefiti za First Lady au unajisemea tu ili utoe mchango JF??
Usijifanye unajua. Hakuna asiyetambua kuwa kuna ni first lady lakini ukweli ni kuwa anachofanya si majukumu ya first lady. Yeye ni first lady wakati mume wake anapokuwa rais. Anapotembea kama mwanachama wa chama fulani na kuingia kwenye kampeni (hata kama ni kwa ajili ya mume wake) lazima kuwe na tofauti kama anaenda kama first lady au mwanachama. Ndo maana Kinana alisema kuwa anaenda kama mwanachama na anaenda kwa gharama za chama. Hoja ya ya "benefiti za first lady" (afadhali ungetumia neno privilege) zinaingia wapo?
 
mmmhh sina uhakika ila huwa nasikia wanasema mgombea urais kwa tkt ya chama ..... au wanataja jina tu .. hawasemi raisi .........
so kwa maana hiyo hata first lady haitakiwi kuitwa hivyo

Nadhani angeitwa Mgombea u_first lady
 
Kinana ashtakiwe kwa kudanganya umma na kufoji risiti kwa madai ya kulipa serikali na Salma ashtakiwe kwa matumizi mabaya ya pesa za umma

Mkuu nashkuru but naomba tujadili njia nyingine mi sina Imani na court za kibongo, Chenge,Mramba, N.K Wanakesi bt bado wanakula Bata mzinga mtaani,Liyumba kapra BILLION 200 ETI kafungwa miezi 24 we huoni court zimekuwa sehem ya kupumbaza walipa Kodi? Tangu Uhuru hakuna Fisadi alietiwa adabu na Cort
 
Asante Kwa Headline; Mwanahalisi online hawaiupdate Mara kwa Mara kama Mwananchi au IPP Media kwangu Mimi nimeacha kusoma IPP Media ni gazeti kibaraka la chama Tawala
 

Kila mtu ajitahidi kupata nakala yake kwani lina mambo kweli kweli!!!!!!!!!!!!
 
jamani kama inawezekana kubenea na timu yake waambiwe ku update website timely. We can pay for this service (eg monthly subscription). Kuna maeneo ambayo hard copies hazifiki

nafikiri ni vyema uakaanza kusubscribe gazeti la mwanahalisi kwanza, jamani tukumbuke hiyo ni biashara licha ya kwamba anatimiza wajibu wao wa kuelimisha umma. Mafisadi wengi wangependa kuona mwanahalisi linafilisika. Hivyo tujitolee kununua copies za kutosha ili mwanahalisi iweze kudumu daima
 

Inaelekea wewe ni Ridhwan, au una uhusiano wa karibu sana na hii familia la sivyo usingekuwa unatetea ufujaji wa mali za serikali!!!! Anyway, Time will tell...........................!!!! Halafu usichanganye mambo hapa, niliyemjibu alisema benefits za first lady sasa wewe unayekuja na hizo privelege za first lady si utuambie ni zipi?? Sasa kwa nini Kinana mpaka ame-forge recept kumtetea huyohuyo First Lady, if that was one of her privelege as you say??
 
Wanajiandalia tatizo la kustaafu nalo. Kama vile Ben alivyoandamwa na Kiwira na mazagamazaga mengine, JK naye anaanda kashfa ya familia kutumia vibaya mali za umma. Yangu macho tu, naduwaa
 
Nngu007, inabidi ukanunue magazeti uitake yote hapo, nao ni biashara wanafanya.
 
Headlines za mwanahalisi leo ni:
1.MALIPO YA SALMA UTATA
2.TAKUKURU MSHAURI WA CCM
3.KIKWETE, KURA NA WATUHUMIWA UFISADI
4.MSAJILI ASILALAMIKE TU, ACHUKUE HATUA
5.KINANA MWONGO AU MSAHAULIFU?
6.KWA MABANGO HAYA, HOFU AU JK HAJULKANI?
7.CCM YAWAKANA MA-RC,DC
8.PROF. KAHIGI:TEGEMEO LA BUKOMBE
9.NANI KATEUA MHUNI KAMPENI ZA CCM?
10.KAMA HAO HAWAWEZI, WENGINE WANAWEZA
11.MAKUNDI CCM YANATOKANA NA MASLAHI BINAFSI
12.SITTA ATAVUNA AIBU TUPU KWA DK SLAA
13.HATA CCM NI "CHAMA CHA MSIMU"
14.MUNGU AWAAMBIA WATANZANIA: MSIOGOPE
15.HILI LA DRC TUMEONYESHA NJIA
16.KIKWETE SASA UNAPOTEA NJIA
17.KAMPENI BILA JANJAWEED, BILA VITUKO
18.RAIS ABDOULAYE AHONGA DOLA LAKI MBILI
19.POULSEN ASHAURIWE, ASIPANGIWE TIMU

Wahi kanunue kopi yako leo
 
Inatia moyo kuona kwamba watanzania wanaoipenda nchi yao kikweli na risk zao binafsi bado wapo big up Kubenea.
If we all plays our card well, changes in this country is just around the corner.
Well said brother let wait for that day 31 of october this year.

Wenye masikio na wasikie kauli hizi!
Kinana ashtakiwe kwa kudanganya umma na kufoji risiti kwa madai ya kulipa serikali na Salma ashtakiwe kwa matumizi mabaya ya pesa za umma
Salma maskini hana cha kujibu kama ni mahakamani, anaye paswa kushitakiwa kwa kutumia madaraka ya umma vibaya ni huyo aliye muajiri kinana na kumfanya huyo mama aitwe first lady.
Mkuu naona kama umetumia nguvu na muda mwingi sana kumjibu uliyekuwa unamjibu, hawa ni baadhi ya watu ambao wanaamini ukombozi wa kweli wa mtanzania hautapatikana. Hawana muda wa kusoma historia, alama za nyakati wala kujifunza kutoka kwa majirani zetu kama Kenya, Malawi, Zambia, South Afrika na karibuni zaidi Zimbabwe, Leave them alone they are going to see soon that our land is Blessed.
 
Tatizo la kuwa na mume taahira. Mume asingekuwa taahira asingeruhusu hali hii. Mambo mengine yanaayoonesha utaahira wa baba ni kutokuwa na kiasi.
Mama mjumbe Mkutano Mkuu CCM
Ridhiwani Mjumbe Kamati Utekelezaji Vijana.
Dogo mwingine Mwenyekiti Chipukizi (Taifa).

Baba mwenye busara na akili timamu asingeruhusu hali hii.
 
Huyu mama kama anataka uongozi si agombee tu.

Michelle Obama campaigned for Barack in 2008 elections!
Chelsea Clinton campaigned for Hillary in 2008
Cindy McCain campaigned for John McCain in 2008
Lucy Kibaki did the same, the list goes on and on.
Why not Salma???
 
Michelle Obama campaigned for Barack in 2008 elections!
Chelsea Clinton campaigned for Hillary in 2008
Cindy McCain campaigned for John McCain in 2008
Lucy Kibaki did the same, the list goes on and on.
Why not Salma???

You are totally lost in this one. No one complains about Salma campaigning for her husband or else any other wife,maids, kids of JK. The point is they shouldn't be using tax payers monies, your money, my money for political gains.

Well you have mentioned Michelle campaigning for Obama, but don't u remember as of her recent trip to Spain????????? She used her own money only that security and the plane was from tax payers $$$

Don't u remember what happened???????? And that is the US the richest country on Earth what about TZ?? DON'T WE HAVE THE RIGHTS TO TAKE ACTION WHEN SALMA IS MISUSING OUR MONEY???????
 
Wewe ungelikuwa na ufahamu wa kila kitu usingekubali kuinamishwa na padri wako.

Matusi ya nini kwani wewe una uhakika huyo baba ako ni wako kweli?mama ako ndo anajua nani baba ako...na kuinamishwa ni makubaliano hata wewe unaweza kuwa unainamishwa lakini ukweli unao wewe..Go Dr. Slaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…