BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Katika uchumi kila namba ina umuhimu mkubwa either ni kubwa au ndogo hivi sasa Tanzania kwenye currency system sarafu ya Tshs 50 ndio kima cha chini kama means of exchange na Noti ya 10000 ndio kima cha juu.
Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa sarafu na noti zilizopo kwenye mzunguko mfano badala ya kuwepo malipo ya 535 ambayo yatafanya mlipaji kudhulimiwa shilling 15 yake kutokana na sarafu hiyo kutotumika kwa sasa ni busara kuamua iwe 500 au 550.
Sasa Malipo mengi ya serikali yanayokuja kwa mfumo wa control number ndivyo yalivyo unakuta amount inakuja 88,955/= katika mazingira hayo unalazimika kulipa 89,000/= means umelipa zaidi hususani tunaotumia mawakala au mabenki kulipa means umelipa zaidi ambayo kiuchumi inaweza kukuaffect kama ni mtu unayefanya transaction nyingi na pia inaweza kuleta utata wakati wa auditing.
Ingekuwa sawa kama Tanzania tupo katika paperless money lakini hatupo huko. Ushauri wangu japo najua hauwezi kuzingatiwa sababu ya status yangu na ukizingatia nilipata mswaki katika somo la Mathematics ningependa serikali yangu iliangalie hili swala na ikiwapendeza walifanyie kazi.
Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa sarafu na noti zilizopo kwenye mzunguko mfano badala ya kuwepo malipo ya 535 ambayo yatafanya mlipaji kudhulimiwa shilling 15 yake kutokana na sarafu hiyo kutotumika kwa sasa ni busara kuamua iwe 500 au 550.
Sasa Malipo mengi ya serikali yanayokuja kwa mfumo wa control number ndivyo yalivyo unakuta amount inakuja 88,955/= katika mazingira hayo unalazimika kulipa 89,000/= means umelipa zaidi hususani tunaotumia mawakala au mabenki kulipa means umelipa zaidi ambayo kiuchumi inaweza kukuaffect kama ni mtu unayefanya transaction nyingi na pia inaweza kuleta utata wakati wa auditing.
Ingekuwa sawa kama Tanzania tupo katika paperless money lakini hatupo huko. Ushauri wangu japo najua hauwezi kuzingatiwa sababu ya status yangu na ukizingatia nilipata mswaki katika somo la Mathematics ningependa serikali yangu iliangalie hili swala na ikiwapendeza walifanyie kazi.