ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 674
- 1,017
Habari wadau. Natumaini ni wazima. Naomba kupata ifahamu toka kwenu kwamba ni vigezo gani au biashara gani zinazotakiwa kulipia TFDA kwani tulizoe kwamba wanaolipia hicho kitu ni wale wanaouza vyakula kama migahawa,hotel,fresh food,maduka ya madawa nk.
Lakini mwaka huu naona tumeongezwa na sisi wenye maduka ya vitu vya matumizi ya nyumbani yaani maduka yanayouza sabuni,mafuta,sukari,chumvi nk tena reja reja.
Sasa nilitaka kujua nini hasa kimetokea hadi na sisi tukaingia huko au kipindi cha nyuma nini kilishindikana kututoza?
Kwa sasa inaanzia sh 100,000/. Hapo jumlisha kodi ya tra,leseni ya biashara unakuta jumla sio chini ya laki 6.
Lakini mwaka huu naona tumeongezwa na sisi wenye maduka ya vitu vya matumizi ya nyumbani yaani maduka yanayouza sabuni,mafuta,sukari,chumvi nk tena reja reja.
Sasa nilitaka kujua nini hasa kimetokea hadi na sisi tukaingia huko au kipindi cha nyuma nini kilishindikana kututoza?
Kwa sasa inaanzia sh 100,000/. Hapo jumlisha kodi ya tra,leseni ya biashara unakuta jumla sio chini ya laki 6.