Malipo ya waamuzi katika ligi kubwa za ulaya

Wakina ramadhan kayoko wanakunjaa MKWANJAA kokotee Cha msingi upande dau kubwa kuliko mwenzako akupee matokeo..

Ukisema ategemee malipo ya TFF atachelewa Sana kupataa maendeleo....
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania mimi hupenda kumwa refarii moja anaitwa Tatu; ni binti mdogo lakini yuko sharp sana. Sijui yeye analipwaje lakini hunikosha sana anapokuwa anachezesha mpira ingawa mara chache chache amekuwa anafanya makosa madogomdogo.
Tatu Malogo??
 
Rama kayoko naskia ni Muajiriwa tasisi moja hiv ya serikali.
Urefa ni kama mazoezi tu na kupata pesa ya maji kupoza koo.
 
Mechi za ligi kuu ni laki4..
Mechi za championship laki 2.5
Mechi za first league laki 1.5..

Lensmen wao ni 75% ya refa wa Kati..pia Kuna viposho mechi ikiwa imejaza uwanja ,,ndio maana unaona wenye connection wanasafiri na Simba ,Yanga kila siku example kayoko,Sasii,,Jonesia,Arajiga,kambuzi,mwinyichui ,Mwinyimkuu,mdoe na yule dada mnyaturu
 
Natamani nifahamu waamuzi wetu akina Kayoko wao wanakunja shilingi ngapi kwa mechi moja.

Wakina Kayoko wanakunja ngumi[emoji3][emoji3]

Niliwahi kusikia jamaa mmoja akisema kuwa wanalipwa kiasi kisichozidi laki 3. Malipo ya mchezo, gharama za accomodation usafiri humohumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…