Malisa GJ: Umuhimu wa Katiba Mpya

Malisa GJ: Umuhimu wa Katiba Mpya

Tatizo vijana wa chama Cha zamani kichwani hamna kitu
 
Ndiyo maana tunapendekeza kwamba katiba itupe mamlaka sisi wananchi ya kuwaadibisha wanasiasa(Wabunge) ambao hawatendi wanachokiongea.
Mkuu ukitizama kwa jicho la 3 utaona yafuatayo..
Mosi wamechungulia (wanasiasa udhaifu) madam President.. na kuona kuwa wanaweza wakachekecha ikapenya ajenda..

Pili hakuna ushahid huo popote duniani kuwa katiba inaweza kuleta maendeleo.. labda tutumie mifano mikubwa miwili.. taifa la marekan kabla halijaleta hi katiba ilewa ilijielekeza kuijenga Kwanza usa kwa wananchi wake kufanya kazi
Baada ya maendeleo haya unayoyaona wakaja na hyo katiba...

Sasa ukiona implementation ya sis tunataka katiba tukiwa hatujui kwa nn tunataka katiba mpya...

Mfano wa 2 ni China wao baada ya kujitawala wakaanza kufanya kazi na kuzaana Sana na kutumia lugha yao na traditional zao.. je unaona kilichopo China nw?? Ndo wakaweka sheria sasa( katiba)

Kwa hyo kwa mtazamo wa kijamaa tunahitaji institution strong kutoka kwenye jamii strong ambayo haipatikan kwa sabab ya katiba mpya ila Kwanza iliyopo ya kuheshim mamlaka na kuacha kuidharau...

Inabidi tuwe na kura ya maoni je tunahitaji katiba mpya au la kwa nchi nzima.. elim itolewe siyo kisiasa kwa kuangalia matakwa ya kijamii.. ili jamii iamue.. si tume ya kukusanya maoni..
 
Muda wangu wa kuchangia nimeutumia kujibu maswali matano yanayoulizwa na wengi huko mtaani kuhusu Katiba (5 common questions).

Hayo maswali kayatoa wapi?
 
Mkuu ukitizama kwa jicho la 3 utaona yafuatayo..
Mosi wamechungulia (wanasiasa udhaifu) madam President.. na kuona kuwa wanaweza wakachekecha ikapenya ajenda..

Pili hakuna ushahid huo popote duniani kuwa katiba inaweza kuleta maendeleo.. labda tutumie mifano mikubwa miwili.. taifa la marekan kabla halijaleta hi katiba ilewa ilijielekeza kuijenga Kwanza usa kwa wananchi wake kufanya kazi
Baada ya maendeleo haya unayoyaona wakaja na hyo katiba...

Sasa ukiona implementation ya sis tunataka katiba tukiwa hatujui kwa nn tunataka katiba mpya...

Mfano wa 2 ni China wao baada ya kujitawala wakaanza kufanya kazi na kuzaana Sana na kutumia lugha yao na traditional zao.. je unaona kilichopo China nw?? Ndo wakaweka sheria sasa( katiba)

Kwa hyo kwa mtazamo wa kijamaa tunahitaji institution strong kutoka kwenye jamii strong ambayo haipatikan kwa sabab ya katiba mpya ila Kwanza iliyopo ya kuheshim mamlaka na kuacha kuidharau...

Inabidi tuwe na kura ya maoni je tunahitaji katiba mpya au la kwa nchi nzima.. elim itolewe siyo kisiasa kwa kuangalia matakwa ya kijamii.. ili jamii iamue.. si tume ya kukusanya maoni..
Mkuu nafikiri kuna sehemu unachanganya hilo neno "MAENDELEO"

Maendeleo siyo lazima yawe ya vitu kama nyumba, magari, n.k Kumbuka kuna maendeleo ya kiuchumi, Kijamii, na kisiasa.

Kuwa na katiba ambayo inatoa kinga dhidi ya viongozi wenye choyo, wenye kutumia mali za umma vibaya, wenye kutumia madaraka vibaya hayo nayo ni maendeleo makubwa sana. Mfano mzuri ni Nchini Kenya ambapo kupitia katiba yao. Rais haongozi kwa matamko. Anachokifanya Rais kinapingwa mahakamani. Kitu ambacho ni tofauti hapa Tanzania.

Mfano kipindi cha ESCROW viongozi wote waliojihusisha na ubadhilifu ule wangeshitakiwa ila kwa sababu kuna kinga za hapa na pale hawakufanywa lolote.

Kadhalika, investors hawawezi kuwekeza katika Nchi ambayo inaongozwa kwa matamko badala ya kuongoza kwa kuheshimu Katiba na sheria zingine za Nchi. Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani ina wawekezaji wengi?

Tanzania tupo nyuma sana kimaendeleo katika nyanja ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ukilinganisha na Nchi ya Kenya.

Huduma za Kijamii nchini Kenya wameendelea sana mfano mzuri ni msanii Ommy dimpozi ambaye alishindwa kugundulika anaumwa nini hapa nchini ila alipoenda Kenya aliambiwa tatizo lake.
 
Mkuu nafikiri kuna sehemu unachanganya hilo neno "MAENDELEO"

Maendeleo siyo lazima yawe ya vitu kama nyumba, magari, n.k Kumbuka kuna maendeleo ya kiuchumi, Kijamii, na kisiasa.

Kuwa na katiba ambayo inatoa kinga dhidi ya viongozi wenye choyo, wenye kutumia mali za umma vibaya, wenye kutumia madaraka vibaya hayo nayo ni maendeleo makubwa sana. Mfano mzuri ni Nchini Kenya ambapo kupitia katiba yao. Rais haongozi kwa matamko. Anachokifanya Rais kinapingwa mahakamani. Kitu ambacho ni tofauti hapa Tanzania.

Mfano kipindi cha ESCROW viongozi wote waliojihusisha na ubadhilifu ule wangeshitakiwa ila kwa sababu kuna kinga za hapa na pale hawakufanywa lolote.

Kadhalika, investors hawawezi kuwekeza katika Nchi ambayo inaongozwa kwa matamko badala ya kuongoza kwa kuheshimu Katiba na sheria zingine za Nchi. Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani ina wawekezaji wengi?

Tanzania tupo nyuma sana kimaendeleo katika nyanja ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ukilinganisha na Nchi ya Kenya.

Huduma za Kijamii nchini Kenya wameendelea sana mfano mzuri ni msanii Ommy dimpozi ambaye alishindwa kugundulika anaumwa nini hapa nchini ila alipoenda Kenya aliambiwa tatizo lake.
Kimsing nakuelewa walao Sasa Kama ndvyo umhim wa katiba mpya uanzie wapi?? Wakati katba ile ambayo mchakato wake ulikwama na hakuna sabba ya kwa nn ulikwama nlikuwa nafanya kazi maeneo tofaut ya kijijn.. baadhi ya watu nliokutana nao hawakuwa na uelewa walao hata wa neno katiba wengine waliniuliza hv hulo bunge la katiba maana yake Nini??

Kwa hyo kunakazi Kwanza ya kuielimisha jamii ya Sasa katiba maana yake Nini.. mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya Sasa na kwa nn tutake katiba nyingine..
Na je tunaiunda Kama copy&pest ya ambayo haikufikia muafaka au tunaitaka tuunde ya kwetu??

Mkuu hatuundi katiba kwa kuangalia wengine wameundaje ya kwao ila jambo la Msingi tujue hasa mahitaji ya jamii yetu ni yapi..

Umesema vyema MAENDELEO si kuangalia tu binafsi ila ya ujumla.. na hapo ndpo tunapokuja na vipaumbele... Ni vyema tujiridhishe Kama kwel jamii ya Sasa kwa takwim halisi tunahitaji katiba??
 
Muda wangu wa kuchangia nimeutumia kujibu maswali matano yanayoulizwa na wengi huko mtaani kuhusu Katiba (5 common questions).
Mtaani wapi kusiko na jina?
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
uvcmm kwa sababu wanazozijua wao, wanapambana usiku na mchana kwa kutumia hoja dhaifu kutaka kukwamisha harakati za kudai katiba mpya.

kwa trend ya sasa sidhani kama watafanikiwa, zaidi wanazidi kuongeza umaarufu wa hii harakati.
 
Muda wa kuishi kusubr ihsan ya kiongoz umekwisha ni mwendawazimu tu asiejua umuhimu wa katiba,hakuna aliye tayar kupokwa madaraka na hyo ndyo khofu kubwa ya chama chakavu
Ninayo maswal machache,

1) Hitajia la katiba mpya nilakisiasa, au la kijamii? Ukijibu njoo na majibu vivid

2) Kwanini katiba mpya uwe Sasa? Kwa Nini haikuwa miaka5 iliyopita? Nini kimepelekea kuidai sasa?

3) Eleza hoja yenye mashiko katiba mpya itasaidiaje kuleta maendeleo ya Tanzania na watanzania? Eleza japo kwa mifano hai ni nchi zipi kwa kuwa na katiba(nzuri) zinamaendeleo kwa sababu ya katiba?

4) Unakubali au kukanusha juu ya ukwel kuwa katiba iliyopo inapangufu katika tume ya uchaguzi na si katiba yote? Ukanushaji au ukubali uwe na majib yaliyo na vielelezo hai.

5) Tuambie kwa faida au kwa hasara Nini kitatokea kama tusipokuwa na katiba nyingine kwa miaka 10 ijayo? Mwananchi alieko kule nyakahoze au mugumu Serengeti au kule songwe kijijini ataathirika vipi?

Nasubri majibu

Mr bonny
 
Muda wangu wa kuchangia nimeutumia kujibu maswali matano yanayoulizwa na wengi huko mtaani kuhusu Katiba (5 common questions).

1. Kwanini mchakato huu umeandaliwa na BAVICHA? Mnapigania Katiba ya nchi au ya Chadema?

#Jibu: Mchakato wowote wa katiba ni wa kisheria na kisiasa. Katiba ni jambo linalogusa watu wote, hivyo kila kundi lina haki ya kujadili. Vijana wa chama cha zamani, badala ya kuwaonea gere BAVICHA, nanyi mnaweza kuandaa kongamano lenu. Muhimu kila mtu apate nafasi ya kuamua muastakabali wa taifa letu.

2. Katiba mpya sio kipaumbele cha Rais, kwanini msiachane nayo?

#Jibu: Katiba sio mali ya Rais ni mali ya wananchi. Hivyo kama wananchi wanataka katiba mpya, Rais hawezi kuzuia kwa namna yoyote. Kama wananchi wakisema Katiba mpya ni kipaumbele chao, Rais atake asitake atalazimishwa (kwa sauti ya kimbunga Jobo).

3. Je, Katiba mpya ina umuhimu wowote?

#Jibu: Ndio. Itatuwezesha kupata tume huru ya uchaguzi, ambayo mchezaji wa timu pinzani hataweza kujigeuza refa kama ilivyo sasa. Itaimarisha uchumi kwa sababu wawekezaji wote wakubwa duniani hupenda kuinvest mitaji yao mahali penye stability ya kisiasa. Pamoja na faida nyingine nyingi (ambazo zimetajwa na wazungunzaji wengine) katiba mpya itamfunga "breki" Rais asiteue majambazi kama Sabaya na kuwapa ofisi za umma.

4. Kwanini tusifanye marekebisho kidogo ya Katiba iliyopo badala ya kudai mpya?

#Jibu: Katiba iliyopo imeshafanyiwa marekebisho mengi sana. Kati ya mwaka 1980 hadi 1995 ikifanyiwa marekebisho mara 13. Kama ni nguo basi imechakaa na ina viraka vingi sana. Kwahiyo badala ya kutafuta mahali pengine pa kuweka kiraka, ni bora tununue nguo mpya.

5. Kwanini Mchakato wa Katiba usisubiri kwanza ili tujenge uchumi kama alivyosema mama Samia?

#Jibu: Wakati akiongea na waandishi wa habari, Mama Samia alisema kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, uchumi wa nchi uliporomoka kutoka 7.2% hadi 4.8%. Kumbuka kipindi hicho mchakato wa katiba ulikua umesimamishwa. Kama kuzuia Katiba mpya kunasaidia kujenga uchumi, basi ilitakiwa kipindi cha mwendazake uchumi uimarike kuliko wakati mwingine wowote, lakini haikua hivyo.

Wanaodai katiba kwa nguvu sio wananchi ila ni CHADEMA idadi yao haifikii hata robo ya watanzania wote

Na hao CHADEMA wanadai hiyo katiba kwa tamaa yao ya madaraka wanahisi labda litakua daraja la wao kuingia madarakani na ndio maana wakuzungumzia katiba mpya wanalenga katika tume ya uchaguzi

In short ndio CHADEMA inakufa maana mtapoteza hi miaka 4 yote kudai katiba na hiyo katiba haitapatikana

R.I.P CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said akirud nistue
  1. Katiba mpya ni takwa la kijamii, na linapata msukumo mkubwa na wanasiasa kwani katiba ni mchakato wa kisiasa.
  2. Katiba imeanza kudaiwa toka 1992 mfumo wa vyama vingi uliporejea hapa nchini. Huenda wakati huo hukuwa umezaliwa. 2010-2015 kulifanyika msukumo mkubwa wa kupata katiba mpya, hatimaye ilitungwa sheria ya mabadiliko ya katiba mpya, na tume ya Jaji Warioba ilizunguka nchi nzima, kukusanya maoni ya wananchi. Hatimaye kukawa na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa inasubiri kupigiwa kura japo rasimu ya Warioba ilichezewa. Miaka mitano iliyopita nchi hii ilikuwa mikononi mwa rais muovu, aliyekuwa hataki katiba ya kumzuia kwenye uovu wake. Ila kwenye ilani ya ccm mchakato wa katiba pendekezwa ulikuwepo,lakini rais mwenye kiburi cha madaraka aliigomea. Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
  3. Katiba mpya italeta maendeleo maana itatoa viongozi wenye uhalali wa umma, na wataweza kuwajibishwa iwapo watakosea. nchi za Kenya, Afrika kusini na Ghana ni mifano halisi wa nchi zenye katiba bora, na zinaaminika hata na wawekezaji, kwani zinajali utawala wa sheria, na sio utashi wa rais aliye madarakani.
  4. Tume ya uchaguzi ni sehemu tu ya mapungufu ya hiyo katiba, lakini kuna madaraka makubwa ya urais ambayo yanatumika vibaya, na kwa maslahi binafsi ya rais na genge lake. Udhaifu huo umedhibitika wazi wakati wa JK, na rais muovu aliyefariki hivi karibuni.
  5. Bila utawala wa sheria ni ngumu muwekazaji makini kuwekeza, mfano hali ni wakati wa Magufuli wawekezaji wengi waliondoka. Kama hakuna wawekezaji ni ngumu uchumi kukua. Pia ni rahisi nchi kuingia machafuko ni, kwani hakuna haki. Kama katiba mpya haisaidii mtu wa kijijini, hayo maVX ya serikalini yanawasaidia nini hao wananchi?
 
😂😂😂😂😂😂😂 yule dhalimu magufuli alidhani ameiua Chadema lakini akaona moto wake kwenye kampeni hadi akaamua kutumia UPORAJI wa kura na mtutu wa bunduki ili kubaki madarakani kwa njia haramu. Huwezi kuuwa kilichomo mioyoni mwa Watanzania. Utasubiri sana kifo cha Chadema.


Wanaodai katiba kwa nguvu sio wananchi ila ni CHADEMA idadi yao haifikii hata robo ya watanzania wote

Na hao CHADEMA wanadai hiyo katiba kwa tamaa yao ya madaraka wanahisi labda litakua daraja la wao kuingia madarakani na ndio maana wakuzungumzia katiba mpya wanalenga katika tume ya uchaguzi

In short ndio CHADEMA inakufa maana mtapoteza hi miaka 4 yote kudai katiba na hiyo katiba haitapatikana

R.I.P CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsing nakuelewa walao Sasa Kama ndvyo umhim wa katiba mpya uanzie wapi?? Wakati katba ile ambayo mchakato wake ulikwama na hakuna sabba ya kwa nn ulikwama nlikuwa nafanya kazi maeneo tofaut ya kijijn.. baadhi ya watu nliokutana nao hawakuwa na uelewa walao hata wa neno katiba wengine waliniuliza hv hulo bunge la katiba maana yake Nini??

Kwa hyo kunakazi Kwanza ya kuielimisha jamii ya Sasa katiba maana yake Nini.. mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya Sasa na kwa nn tutake katiba nyingine..
Na je tunaiunda Kama copy&pest ya ambayo haikufikia muafaka au tunaitaka tuunde ya kwetu??

Mkuu hatuundi katiba kwa kuangalia wengine wameundaje ya kwao ila jambo la Msingi tujue hasa mahitaji ya jamii yetu ni yapi..

Umesema vyema MAENDELEO si kuangalia tu binafsi ila ya ujumla.. na hapo ndpo tunapokuja na vipaumbele... Ni vyema tujiridhishe Kama kwel jamii ya Sasa kwa takwim halisi tunahitaji katiba??
Kwanza, mkuu wananchi kutokuelewa katiba yao ni uthibitisho tosha kwamba maendeleo ya kijamii katika nchi yetu ni mabaya sana mkuu. Kutokuelewa katiba yao maana yake hiyo jamii ina tongotongo kubwa sana katika macho yao.

Pili, kutokujua katiba yao inasemaje siyo hoja kubwa sana kwani huo ni uzembe wao. Sasa suala la uzembe wao wa kutokufuatilia mambo mbalimbali kwa manufaa yao yasikwamishe mchakato wa katiba mpya.

Tatu, mkuu katiba mpya tunayoitaka ni ambayo itaakisi maisha halisi ya Watanzania na yenye kuleta tija katika jamii na siyo ya copy & paste.

NB: suala la wananchi kutokujua katiba yao ya sasa ni uzembe mkubwa sana na siyo sababu ya msingi ya kutuzuia kuwa na katiba mpya.
 
Acha kujidanganya ww,mataifa mengi ya ulaya magharibi yalipata maendeleo makubwa baada ya mabadiliko ya kisiasa sambamba na katiba bora.
Hiv kwann chama chakavu mnaiogopa katiba mpya????yaan bdo mnataka hii mbeleko iliyopo ktk hii katiba chakavu?????
Mkuu ukitizama kwa jicho la 3 utaona yafuatayo..
Mosi wamechungulia (wanasiasa udhaifu) madam President.. na kuona kuwa wanaweza wakachekecha ikapenya ajenda..

Pili hakuna ushahid huo popote duniani kuwa katiba inaweza kuleta maendeleo.. labda tutumie mifano mikubwa miwili.. taifa la marekan kabla halijaleta hi katiba ilewa ilijielekeza kuijenga Kwanza usa kwa wananchi wake kufanya kazi
Baada ya maendeleo haya unayoyaona wakaja na hyo katiba...

Sasa ukiona implementation ya sis tunataka katiba tukiwa hatujui kwa nn tunataka katiba mpya...

Mfano wa 2 ni China wao baada ya kujitawala wakaanza kufanya kazi na kuzaana Sana na kutumia lugha yao na traditional zao.. je unaona kilichopo China nw?? Ndo wakaweka sheria sasa( katiba)

Kwa hyo kwa mtazamo wa kijamaa tunahitaji institution strong kutoka kwenye jamii strong ambayo haipatikan kwa sabab ya katiba mpya ila Kwanza iliyopo ya kuheshim mamlaka na kuacha kuidharau...

Inabidi tuwe na kura ya maoni je tunahitaji katiba mpya au la kwa nchi nzima.. elim itolewe siyo kisiasa kwa kuangalia matakwa ya kijamii.. ili jamii iamue.. si tume ya kukusanya maoni..
 
Namba 3 nimeielewa sana ,sisi tunaohangaika ughaibuni kutafuta wawekeza hua wanauliza maswali muhimu hilo mojawapo ,hua tunaishia kusema tunautulivu na amani ,unaulizwa kuhusu utulivu na amani ukijib wanakwambia hakuna kitu

Pili idadi yawatu ndomana mpaka Leo tunamakanjanja wakujenga Barabara ndo wawekezaji..
 
Back
Top Bottom