Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
MALKIA ELIZABETH (1926 - 2022) KATIKA NYARAKA ZA SYKES 1953
Katika nyaraka za Sykes kuna nakala ya barua ya tarehe 2 June, 1953 kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA 1953:
Rais: Julius Nyerere
Makamu wa Rais: Abdulwahid Sykes
Katibu Mkuu: Dome Okochi Budohi
Naibu Katibu: W. Dossa Aziz
Mweka Hazina: John Rupia Naibu Mweka Hazina: Ally SykesBarua hii inampongeza Malkia Elizabeth kwa kutawazwa kuwa Malkia wa Uingereza.
Katika nyaraka za Sykes kuna nakala ya barua ya tarehe 2 June, 1953 kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA 1953:
Rais: Julius Nyerere
Makamu wa Rais: Abdulwahid Sykes
Katibu Mkuu: Dome Okochi Budohi
Naibu Katibu: W. Dossa Aziz
Mweka Hazina: John Rupia Naibu Mweka Hazina: Ally SykesBarua hii inampongeza Malkia Elizabeth kwa kutawazwa kuwa Malkia wa Uingereza.