SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mzee Mo Ahsante kwa hili.
Kweli ulikuwa wakati tofauti, wakujikomba!
Sasa CCM waandike barua kwenda kwa KC the 3rd, na wamuombe kwa unyenyekevu kama barua hiyo juu, kwamba sasa inatosha kutawaliwa. Kwamba tunaouwezo wa kuendesha Nchi(Sovereign) na vilevile Atuondoe kutoka katika Jumuiya au COMMONWEALTH kwani ni muendelezo wa Ukoloni.
Mzee wafikishie ombi.
Aluta Continua.
Kweli ulikuwa wakati tofauti, wakujikomba!
Sasa CCM waandike barua kwenda kwa KC the 3rd, na wamuombe kwa unyenyekevu kama barua hiyo juu, kwamba sasa inatosha kutawaliwa. Kwamba tunaouwezo wa kuendesha Nchi(Sovereign) na vilevile Atuondoe kutoka katika Jumuiya au COMMONWEALTH kwani ni muendelezo wa Ukoloni.
Mzee wafikishie ombi.
Aluta Continua.