Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Unaongelea huyu mwizi na mkoloni namba moja. Waingereza huifanya wajuzi lakin hapa waliingia choo ya kike.View attachment 1898587
Malkia ana train yake, inakuwa na mabehewa mpaka tisa kutokana na umuhimu wa safari yake na idadi ya wasafiri. Train hii humuwezeshs yeye pamoja na familia yake hata wageni wake kusafiri kwa amani bila usumbufu.
View attachment 1898598Hili ni behewa la chakula, wanawekewa chakula wakiwa safarini yeye na wageni wake.