Malkia wa Madagascar kutoka kabila la Sakalava

Nzuri Asante sana mkuu sky eclat
Halafu Hilo kabila la Sakalava enzi Hizo ndio walikua wanakula nyama za watu a.k.a maccanibal
Hao jamaa waliwahi vamia wenyeji wa mafia na kusababisha vita kubwa iliyisambalatisha Dola la hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…