Habar wadau
Nitaandika machache tu unajua sisi watanzania tunaishi kwa propaganda na kufuata mkumbo nje ya uhalisia sisi ni kama tupo tupo tu ila samahani nini sisi hatuna effects yoyote huko juu na watawala wanalijiua hilo si uchaguz si maamuz si uteuzi si siasa sio mikopo sio barabara wala sio kisima yaani hayo yote wakubwa ndio huwa wanakaa chini na kuamua kipi kiwe wap na kipi kiende wapi
Unajua kwann nahisi huo ni mpango mkakati ni kwambabu tuna katika mbovu na kila mtu anajua bunge halipo huru sasa ayo malumano ni kutuaminisha tu km bunge lipo huru kumbe hamna kitu ndugai kwa samia mtu mdogo sn labda apewe support ya mabayo mkuu wa majesh nje ya hapo ndugai anaweza kutolewa kwenye kiti ndan ya siku moja tu
Km raisi anataka hoja kwa hoja wanyukane vzr aruhusu katiba mpya bunge liwe huru wanyukane vzr na sio kujitetea eti katiba mpya tusibir afanue maendeleo kwanza huku akijua wqaz katiba inambeba yy na si ndugai
Mm nawachek tu wakamaliza io watatunga nyingine
Nitaandika machache tu unajua sisi watanzania tunaishi kwa propaganda na kufuata mkumbo nje ya uhalisia sisi ni kama tupo tupo tu ila samahani nini sisi hatuna effects yoyote huko juu na watawala wanalijiua hilo si uchaguz si maamuz si uteuzi si siasa sio mikopo sio barabara wala sio kisima yaani hayo yote wakubwa ndio huwa wanakaa chini na kuamua kipi kiwe wap na kipi kiende wapi
Unajua kwann nahisi huo ni mpango mkakati ni kwambabu tuna katika mbovu na kila mtu anajua bunge halipo huru sasa ayo malumano ni kutuaminisha tu km bunge lipo huru kumbe hamna kitu ndugai kwa samia mtu mdogo sn labda apewe support ya mabayo mkuu wa majesh nje ya hapo ndugai anaweza kutolewa kwenye kiti ndan ya siku moja tu
Km raisi anataka hoja kwa hoja wanyukane vzr aruhusu katiba mpya bunge liwe huru wanyukane vzr na sio kujitetea eti katiba mpya tusibir afanue maendeleo kwanza huku akijua wqaz katiba inambeba yy na si ndugai
Mm nawachek tu wakamaliza io watatunga nyingine