Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuondoi ukweli wa siasa za hapo Sasa...sisi tunawaombea tu. Ndio chenye tunaweza kufanya.Lissu tulimuuguza, kaja mwili umejaa risasi, sijui yalimtendekea kwenye nchi gani maana Tanzania huwa tunaambiwa ni nchi ya amani watu wanapendana sana kila siku wanamkiana, na kila mwenye mali hugawa kwa walio maskini yaani ni nchi ambayo kila mtu hutabasamu kwa furaha.
Huko kwenu leo hii mnalumbana na mashirika yote ya kimataifa kisa uvunjaji wa haki za kibinadamu, watu wanatoweka hawapatikani, tumeona taarifa za upinzani ukinunuliwa hela cash money, akina Lowasa wamebabisha hadi wakarudi nyumbani, viongozi wakuu wa upinzani akina Mbowe walinyea debe jela miezi kadhaa, yaani ukijifanya unajikuna yanakukuta....halafu unasema mna hadhi ya kuombea yeyote au ndio mtuambukize laana.Hakuondoi ukweli wa siasa za hapo Sasa...sisi tunawaombea tu. Ndio chenye tunaweza kufanya.
Huko kwenu leo hii mnalumbana na mashirika yote ya kimataifa kisa uvunjaji wa haki za kibinadamu, watu wanatoweka hawapatikani, tumeona taarifa za upinzani ukinunuliwa hela cash money, akina Lowasa wamebabisha hadi wakarudi nyumbani, viongozi wakuu wa upinzani akina Mbowe walinyea debe jela miezi kadhaa, yaani ukijifanya unajikuna yanakukuta....halafu unasema mna hadhi ya kuombea yeyote au ndio mtuambukize laana.
Hahaha Haijawahi tokea watu wa cabinet waka plot assassination ya high target value Kama VP. Hivyo hilo lazima ukubali kwanza.Huko kwenu leo hii mnalumbana na mashirika yote ya kimataifa kisa uvunjaji wa haki za kibinadamu, watu wanatoweka hawapatikani, tumeona taarifa za upinzani ukinunuliwa hela cash money, akina Lowasa wamebabisha hadi wakarudi nyumbani, viongozi wakuu wa upinzani akina Mbowe walinyea debe jela miezi kadhaa, yaani ukijifanya unajikuna yanakukuta....halafu unasema mna hadhi ya kuombea yeyote au ndio mtuambukize laana.
Lissu tulimuuguza, kaja mwili umejaa risasi,
Nchi gani yenye amani isiyokua na majambazi wala matukio yakihalifu?sijui yalimtendekea kwenye nchi gani maana Tanzania huwa tunaambiwa ni nchi ya amani watu wanapendana sana kila siku wanamkiana, na kila mwenye mali hugawa kwa walio maskini yaani ni nchi ambayo kila mtu hutabasamu kwa furaha.
Inaonekana siasa ya bongo imekua trend sana kenya kiasi cha kuifunika siasa ya nchi yenuHuko kwenu leo hii mnalumbana na mashirika yote ya kimataifa kisa uvunjaji wa haki za kibinadamu, watu wanatoweka hawapatikani, tumeona taarifa za upinzani ukinunuliwa hela cash money, akina Lowasa wamebabisha hadi wakarudi nyumbani, viongozi wakuu wa upinzani akina Mbowe walinyea debe jela miezi kadhaa, yaani ukijifanya unajikuna yanakukuta....halafu unasema mna hadhi ya kuombea yeyote au ndio mtuambukize laana.
Inaonekana siasa ya bongo imekua trend sana kenya kiasi cha kuifunika siasa ya nchi yenu
Mimi juzi ndio nimejua kua jagwa nae ni mbunge huko kwenu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hii mechi ni Harambee Star Vs Bashite
Kwa Kunya hamtuwezi Taifa starsKama kawaida lazima tukung'ute midanganyika.