-Mrema aliweza kuwa na nguvu kipindi kile kutokana na vugu vugu lilokuwepo plus uchapaji kazi wake ktk serikali ya Mwinyi
-Hata hivyo Mrema huyo huyo nimekuja kujiridhisha kwamba ni traitor coz alichangia sana kuuwa vuguvugu la mageuzi,hakutumia ile status yake kama mpinzani aliye-enjoy ile popularity ya kukubalika na more than 25 percent ya voters kuonyesha kwa nini yeye ni toafauti na CCM
-Udikteta wake alioupeleka ndani ya vyama ulikua hauna tija.Yes,nakubali kuwa si kila udikteata ni mbaya but look at Mrema's dictatorship umesaidia vipi katika kuujenga upinzani imara?
Mpaka tunapoongea hapa sasa hivi Mrema haoni kama uongozi wa JK una kasoro,sasa mtu akishakua na mawazo kama haya atasaidika vipi?Ndani ya CCM kwenyewe kuna watu ambao hawakubaliani na uongozi wa JK lakini Mrema yeye haoni kosa kabisa
Mrema ameudhoofisha sana upinzani na anaonekana kama traitor.Hata kama alikua amefanya makubwa kiasi gani kwa hili taifa,position anayosimamia sasa hivi imechuja rangi ya yale mazuri yote aliyokua ameyafanya,wale wakuu mnaomtetea Mrema kwa sasa naomba kuwauliza swali...Je Mrema akiwa fisadi sasa hivi bado mtaendelea kumuunga mkono?
Ben hapa nakubaliana na wewe, Mrema ndio ni living legend kwenye politics za Tanzania, nadhani kumtetea Kikwete ndipo alipoharibu lakini kwa upande mwingine hata mimi binafsi namuunga mkono Kikwete maana he is the only president aliye dare kuwafikisha mawaziri, ingawa sakata la Richmond halikwenda kama tulivyotarajia lakini Kikwete ameanzisha the change wengine waje kumalizia huko mbele, kwani huu ufisadi uliaanza kwenye uongozi wa Kikwete, ulikwepo kwaanzia kwa Mwalimu. lakini all the past president didint do shiit
my question is, between the four presidents of Tanzania kuanzia na Mwalimu mwenyewe nani ndio anaye ongoza kupiga vita ufisadi? the answer should be Kikwete. the problem with most Tanzanians they wanted Kikwete to hang all mafisadi, lakini pia wao wana haki zao in the court of law.
na most Tanzanians hunu JF forum wako abroad, na hata ambao wako tanzania they dont care about voting, people do complain but they cannot use their right to vote, misemo ni ile ile, si wataiba kura tu?
For me personally, waraka zilizotolewa na Waislamu na Wakristo pamoja na Ufisadi wa BOT, Richmond n.k nilitegemea CCM watapoteza wafuasi wengi. Lakini kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa they won on a landslide margin. sasa unaniambia hapa tuna expect nini October 2010. Mrema awapigie debe au la vyovyote vile Kikwete na CCM watashinda kwa kishindo comes October.
the change always start with us...especially you
Ben hapa nakubaliana na wewe, Mrema ndio ni living legend kwenye politics za Tanzania, nadhani kumtetea Kikwete ndipo alipoharibu lakini kwa upande mwingine hata mimi binafsi namuunga mkono Kikwete maana he is the only president aliye dare kuwafikisha mawaziri, ingawa sakata la Richmond halikwenda kama tulivyotarajia lakini Kikwete ameanzisha the change wengine waje kumalizia huko mbele, kwani huu ufisadi uliaanza kwenye uongozi wa Kikwete, ulikwepo kwaanzia kwa Mwalimu. lakini all the past president didint do shiit
my question is, between the four presidents of Tanzania kuanzia na Mwalimu mwenyewe nani ndio anaye ongoza kupiga vita ufisadi? the answer should be Kikwete. the problem with most Tanzanians they wanted Kikwete to hang all mafisadi, lakini pia wao wana haki zao in the court of law.
na most Tanzanians hunu JF forum wako abroad, na hata ambao wako tanzania they dont care about voting, people do complain but they cannot use their right to vote, misemo ni ile ile, si wataiba kura tu?
For me personally, waraka zilizotolewa na Waislamu na Wakristo pamoja na Ufisadi wa BOT, Richmond n.k nilitegemea CCM watapoteza wafuasi wengi. Lakini kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa they won on a landslide margin. sasa unaniambia hapa tuna expect nini October 2010. Mrema awapigie debe au la vyovyote vile Kikwete na CCM watashinda kwa kishindo comes October.
the change always start with us...especially you
JK amewafikishaje hao mawaziri kuliko Rais mwingine yeyote?
Mramba na Yona walikuwa mawaziri, wote wana kesi mahakamani ya matumizi mabaya ya vyeo, na mramba na yona sio mafisadi wa kwanza, walikuwa enzi za mwinyi na mkapa...lakini walikuwa wanabadilishswa tu vyeo enzi hizo......
Ben hapa nakubaliana na wewe, Mrema ndio ni living legend kwenye politics za Tanzania, nadhani kumtetea Kikwete ndipo alipoharibu lakini kwa upande mwingine hata mimi binafsi namuunga mkono Kikwete maana he is the only president aliye dare kuwafikisha mawaziri, ingawa sakata la Richmond halikwenda kama tulivyotarajia lakini Kikwete ameanzisha the change wengine waje kumalizia huko mbele, kwani huu ufisadi uliaanza kwenye uongozi wa Kikwete, ulikwepo kwaanzia kwa Mwalimu. lakini all the past president didint do shiit
my question is, between the four presidents of Tanzania kuanzia na Mwalimu mwenyewe nani ndio anaye ongoza kupiga vita ufisadi? the answer should be Kikwete. the problem with most Tanzanians they wanted Kikwete to hang all mafisadi, lakini pia wao wana haki zao in the court of law.
na most Tanzanians hunu JF forum wako abroad, na hata ambao wako tanzania they dont care about voting, people do complain but they cannot use their right to vote, misemo ni ile ile, si wataiba kura tu?
For me personally, waraka zilizotolewa na Waislamu na Wakristo pamoja na Ufisadi wa BOT, Richmond n.k nilitegemea CCM watapoteza wafuasi wengi. Lakini kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa they won on a landslide margin. sasa unaniambia hapa tuna expect nini October 2010. Mrema awapigie debe au la vyovyote vile Kikwete na CCM watashinda kwa kishindo comes October.
the change always start with us...especially you
Kwani mtu kufikishwa mahakamani ndio nini?
Nimelipenda jibu la Kipanya..Teh teh teh.Watetezi wa Mream mko wapi?
Mhh ndugu yangu wee umekuwa Mungu?