Mkuu nadhani jibu lipo ktk maneno ya signature yako.. jaribu kuyasoma kwa makini kisha fanya kinyume utaipata picha haswa ya kumsakama mmwagaji zege!My big question is kwanini hao source wezi wa Richmond waliosababisha hili saga bado wanadunda mitaani tusiwasakame tumsakame mtu aliyesaidia kutuonyesha huyo mwizi hilo ndilo swali langu kuu
Haswaaaaa! wakuu zangu tunachezewa akili zetu kama walio lala vile! Huko CCM na Bungeni kwenye sheria mh. Sitta katuvuruga sasa sielewi huko makanisani ndio kuna jipya gani, zaidi ya kutafuta kura za wananchi apate kurudi bungeni.
My big question is kwanini hao source wezi wa Richmond waliosababisha hili saga bado wanadunda mitaani tusiwasakame tumsakame mtu aliyesaidia kutuonyesha huyo mwizi hilo ndilo swali langu kuu
Nyauba you are forgetting that this is assumed to be a free democratic country! Mrema anayo haki ya kubwabwaja utumbo wowote ule mradi havunji sheria na Sitta naye nje ya Bunge si Spika wa jukwaa la wananchi ni mwananchi huru mwenye haki hiyo hiyo ya kusema anachotaka popote pale mbele ya kadamnasi midhali havunji sheria. Hakuna mahali wanaposema viongozi wa CCM wanapaswa kufunga midomo yao mara wanapotoka kwenye vikao vya Chama na vya Bunge for that matter! Kama Mrema ametoa maneno ambayo kisheria anaweza kuchukuliwa hatua, so be it.Hilo ndo swali muhimu analotakiwa kuwajibu Watanzania kwa ufasaha na sio blah blah kwa Mrema..
Kanishangaza eti anataka kumfungulia Mrema mashitaka mahakamani? Aachee siasa za maji taka!
Luteni, je rais ndie mwendesha bunge? ni kazi ya rais kusimamia hoja za kila siku bungeni? nimesahau civic yangu ya secondary school naomba unikumbushe..
Spika sitta nae kafulia tuache kumpamba najiuliza ni kwanini alifunga mjadala wa Richadmonduli kiyamela badala ya kushinikiza serekali itekeleze maazimio yote ya bunge yeye kakimbilia kuzima mjadala.
mie naona Mrema ndie ambae uzee umepofusha uwezo wake na juhudi zake za kuwakomboa WaTZ wenzake, huyu ndie yule aliyekua anaunguruma TZ yote inatetemeka.Hawa naona uzee unawajia vibaya,ma babu wazima wanakuwa na bifu za kibongo fleva!!
Haswaaaaa! wakuu zangu tunachezewa akili zetu kama walio lala vile! Huko CCM na Bungeni kwenye sheria mh. Sitta katuvuruga sasa sielewi huko makanisani ndio kuna jipya gani, zaidi ya kutafuta kura za wananchi apate kurudi bungeni.
sikubaliani na kauli yako Sitta hakuwa na njisi - ilikuwa mawili - either bunge likatae utekelezaji wa mapendekezo ya kamati teule - then bunge lipige kura kutokuwa na imani na serikali ikifika theruthi 2 ya kutokuwa na imani then serikali invujwe na tuanze uchaguzi upya
au
Kukaa kama kamati ya wabunge wa CCM na kuiokoa serikali.
Sasa we ulitaka Sita afanye lipi zaidi ya hayo aliyoyafanya kusaidia hata mjadala tu ufanyike bungeni?
Kumbuka sita ni mwanachama wa CCM - hakuwa na choice nyingine bali kukubaliana na chama chake kuumaliza mjadala kuiokoa serikali.
Wengi hatujapenda namna mjadala huu ulivoisha - lakini huwezi kutupia lawama wa Sitta - Kama spika katimiza wajibu wake.
Mkandara, you of all the people should know better! Anayevuruga watu ni Sitta ama ni viongozi wa CCM ambao kwa kulinda maslahi yao binafsi hawako tayari kuona kwamba Taifa linadidimia kutokana na wao kufumbia macho mmomonyoko wa maadili uliokithiri nchini? Angalau Sitta ameweza kuonyesha kutokubaliana na hao viongozi wenziwe.Haswaaaaa! wakuu zangu tunachezewa akili zetu kama walio lala vile! Huko CCM na Bungeni kwenye sheria mh. Sitta katuvuruga sasa sielewi huko makanisani ndio kuna jipya gani, zaidi ya kutafuta kura za wananchi apate kurudi bungeni.
Sitta ajibu hoja za Mrema na sio kumtukana binafsi...yeye mwenyewe alifunga mjadala wa Richmond na alisema atakae ufukua ataadhibiwa na kanuni za bunge..leo hii kwenye makanisa ansema alitaka kufukuzwa kwa ajili hiyo....huo ujasiri wa Siita angetuonyesha wakati bunge lina funga mjadala wa Richmond...unnaaa watanzania hatutaki...........
Nini tunakijadili hapa???????
Waliojitambulisha kama wapiganaji wako wapi, wamekufa vitani? au wamezidiwa nguvu na kukimbia kuokoa uhai wao (posho mbilimbili) wakati wafuasi wao wanauwawa.
NAWASHANGA WANA JF KULUMBANA KWA SABABU YA SITTA, i dont see the reason, Sita alituaminisha Watanzania wote kuwa wapiganaji watapigana mpaka mwisho na mungu atawasaidia wapiganaji watashinda, Je ushindi ndio huu?
SITTA KUWAAMBIA WATANZANIA KUWA ALIPONEA CHUPU CHUPU KUFUKUZWA CCM HAIMFANYI KUWA SHUJAA sana sana inathibitisha kuwa yeye ni mbwa koko (corward). Wangapi wamefia maslahi ya taifa? wangapi wanataabika kwa sababu walisimama imara kutetea maslahi ya taifa. ambalo Sitta leo ajipitishia posho kbao?
Tukiwa na viongozi waoga kama Sitta, Wanaoogopa kufukuzwa kwenye chama nchi itaenda wapi.
Mh Zitto alipofukuzwa bungeni kwa sababu ya Buzwagi na baadae ikathibitika kuwa alichokuwa anasema ni kweli ndiyo siku alipotuonyesha UZALENDO WA KWELI NA NDIYO HESHIMA ALIYONAYO MPAKA LEO KENYE JAMII YETU.
Kama Sitta ameogopa kufukuzwa basi na sisi tunaogopa kumpa heshima kama shujaa wetu.
Ama tuache kujadili au tukubali ukweli kuwa hatujui walipo wapambanaji wa ufisadi. Na Sitta si shujaa kwa sababu hakuna ushindi.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Luteni, wanadunda mitaani kwasababu only chance of freedom ya haki kutokea ilinyakuliwa na SITTA aka Mpiganaji... SITTA ametusaliti watanzania na yeye kusoma lile azimio la wabunge wa CCM kuvunja richmond hoja ilikuwa ni maslai yake zaidi na CCM... Hii nchi na bunge si la CCM yeye kwanini alikubadi kuvunja Hoja? je should we judge him by that au kilio chake cha anaonewa CCM? na kama anaonewa anafanya nini kule? IS this not a free country with Multi-polical parties?
Tatizo letu ni moja Tunaona sana madhaifu ya SITTA, ambae japo kajitahidi kutuonyesha namna wezi wanavyoiba mali ya UMMA, hata kama ameshindwa kulimalizia, nguvu ya Wabunge waoga ilikua kubwa, wengi ni bendera fuata upepo, na bila shaka wangekuja kutoa hoja yakupiga kura ya kutokua na Imani nae.Ina maana wewe tatizo lako kubwa ni la Sitta kusoma lile azimio la bunge na si wale wezi wa Richmond!