Malumbano ya Spika Sitta na Mzee Mrema

Malumbano ya Spika Sitta na Mzee Mrema

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party Mh Augustine Mrema leo ametangaza fedha alizonazo kwenye account yake ya benki. Mrema amesema ana shilling miilion 37 kwenye hiyo akaunti ambazo zimemzidi za Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Pinda ambaye hivi karibuni alitangaza kwamba ana shilling million 25 kwenye account yake.

Mrema amehoji kama ana fedha zaidi ya Waziri Mkuu Pinda iweje Sitta aseme hana uwezo wa kifedha. Kama yeye kafulia Waziri mkuu ni vipi......

Habari zaidi nikizipata...............................

i love this game......
 
Jamani walio karibu na Mrema wajaribu kumpa ushauri nasaha ukiona mtu anaongea mambo mengi yasiyo na mpangilio na hayaoani na sababu anazozitoa si bure hivi Mrema ni mtumishi wa umma au mimi sijui ina maana anataka tujue ana pesa ngapi benki au anataka kujilinganisha na wengine kama ni hivo mbona hata Nyerere alikuwa hana mali nyingi kama walivyo wengine atasemaje kwa hilo basi tumsamehe bure hasa nikikumbuka nilivyokuwa nahangaika kumbeba pale jangwani na mimi Mungu anisamehe bure.
 
Kweli huyu anafaa kupelekwa Milembe ikishindikana zaidi basi ahamishiwe Mathale
 
Teh teh teh,yaani Mrema ni kiboko kwa kugonganisha watu.So anataka ionekane kwamba Sitta nae kamtukana Pinda indirect? yaani opportunity yoyote ya kujenga hoja kisiasa hawezi iacha.Lakini si kuna kipindi alitangaza kuwa ana milioni 300?sasa zimeshuka ghafla au yalikua mazungumzo ya kisiasa?lol
 
Jamani walio karibu na Mrema wajaribu kumpa ushauri nasaha ukiona mtu anaongea mambo mengi yasiyo na mpangilio na hayaoani na sababu anazozitoa si bure hivi Mrema ni mtumishi wa umma au mimi sijui ina maana anataka tujue ana pesa ngapi benki au anataka kujilinganisha na wengine kama ni hivo mbona hata Nyerere alikuwa hana mali nyingi kama walivyo wengine atasemaje kwa hilo basi tumsamehe bure hasa nikikumbuka nilivyokuwa nahangaika kumbeba pale jangwani na mimi Mungu anisamehe bure.

Luteni,

Nafikiri Mrema had a right to do this... he is in politics and he was mtumishi wa UMMA for almost his adult life (working life).. sasa kwanini asitangaze? Alafu kumbuka watu hata umu JF anamesema amefulia mara ohh awezi kujitibu, hawezi kulisha familia yake etc... and that was based on what??? i am not sure!!!

Sasa amewaambia how much he has in saving account and its above Pinda.. sasa bado amefulia? na kama that the case Je Pinda amefulia pia..
 
Teh teh teh,yaani Mrema ni kiboko kwa kugonganisha watu.So anataka ionekane kwamba Sitta nae kamtukana Pinda indirect? yaani opportunity yoyote ya kujenga hoja kisiasa hawezi iacha.Lakini si kuna kipindi alitangaza kuwa ana milioni 300?sasa zimeshuka ghafla au yalikua mazungumzo ya kisiasa?lol

Please remind me when and where he said that.. kwamba ana milion 300 kwenye bank account...

Please lets put our comments based on facts not speculation...

Thanks
 
Sasa Mrema kakosea nini? ana hela na sio muongo kama pinda na nina UHAKIKA mrema ndio mwenye hela chache kuliko wanasiasa na wabunge wote.Mrema kasema ukweli PINDA waziri mkuu mzima kadanganya and shame on him..wengine hawatatangaza kwa sasbabu hela zao ni nyingi na haziendani na mapato yao .mream sio kichaa hata kidogo japo hafai kumpa urais ila naona hajadangaya Pinda ni muongo kabisa...
 
Kweli kila shetani na mbuyu wake

well i could say the same mate.. kwamba ata wewe you dont want to look outside the box na kuchambua hoja... watanzania ni kama vile tumelaaniwa kwa fikira.. we just argue for the sake of arguing not based on facts...

I cant understad how on the earth would you judge a man by his words but by his action.. and this point takes me back to Sitta... how can we tanzanians say he has compromise his legacy as a speaker based on what!!!

Mrema ametangaza hela zake sasa sitta nae atangaze na aseme maneno yake ya mrema amefulia is based on what...
 
Luteni,

Nafikiri Mrema had a right to do this... he is in politics and he was mtumishi wa UMMA for almost his adult life (working life).. sasa kwanini asitangaze? Alafu kumbuka watu hata umu JF anamesema amefulia mara ohh awezi kujitibu, hawezi kulisha familia yake etc... and that was based on what??? i am not sure!!!

Sasa amewaambia how much he has in saving account and its above Pinda.. sasa bado amefulia? na kama that the case Je Pinda amefulia pia..
Future-Tanzania una maana kila mtumishi wa umma aliyestaafu atangaze mali zake kusema anawajibu watu wa JF si kweli ni ujuha tu alivyoambiwa kafulia ni pamoja na matendo yake anayoyafanya
 
Sasa Mrema kakosea nini? ana hela na sio muongo kama pinda na nina UHAKIKA mrema ndio mwenye hela chache kuliko wanasiasa na wabunge wote.Mrema kasema ukweli PINDA waziri mkuu mzima kadanganya and shame on him..wengine hawatatangaza kwa sasbabu hela zao ni nyingi na haziendani na mapato yao .mream sio kichaa hata kidogo japo hafai kumpa urais ila naona hajadangaya Pinda ni muongo kabisa...

Mrema kuna kitu anatafuta,si bure!
 
Future-Tanzania una maana kila mtumishi wa umma aliyestaafu atangaze mali zake kusema anawajibu watu wa JF si kweli ni ujuha tu alivyoambiwa kafulia ni pamoja na matendo yake anayoyafanya

Luteni,

Mrema alikuwa mtumishi wa serikali wa kawaida? la hasha.. alimkuwa waziri na alikuwa Naibu waziri mkuu... and thus means alikuwa na position kubwa ambayo mimi na wewe na watumishi wengine wa serikali hatutakuwa nayo maishani mwetu...

Kwa sababu sasa hivi hamna point ya kusema amefulia then mnaanza kusema Sitta alisema Mrema amefulia kwa matendo yake... comon man be serious.. if that is the case i would say Sitta, JK wote wamefulia they are cowered to stand by their morals and mind.. wanapelekeshwa na CCM/Mafisadi mind....
 
TLP account yake ni kwa jina la mrema sasa labda atueleze za chama ni ngapi na za kwake binafsi ni sh ngapi.
 
Hold on,Hivi Mrema katangaza mali zake kwa kufuata ile sheria/dhana ya maadili ya uongozi au kwa vile sitta alisema kafuli?nadhani tukishajua ile dhamira ndipo tutakapoelewana vizuri
 
Spika Sita aache kujibishana na Mrema, mwishowe watu watashindwa kuona tofauti..
 
Back
Top Bottom