Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani we ndio unawaza kama mimi. Hapo inabidi kitengo cha homocide watulie aswaaahHuu ni upuuzi, hao inawezekana wameuwawa; sasa badala ya kufanya uchunguzi kujua muuwaji wao wanarahisisha tu
Hiyo kanda wapelekewe injili upya japo kuna dini na madhehebu karibu yote yaliyoko nchini ila imajaa upagani na ushirikina, kila mara matukio ya mauji hayaachwi kuripotiwa. Makanisa na misikiti kazi yao ni nini kama si kupambana na ushetani huko? Wayakemee hayo mapepo yanayoitesa kanda hiyo yatokeKanda ya Ziwa kuna pepo hatari sana!
Possible, maana kitendo cha mama kuchinja mtoto wake mmh mbona sio rahisi hivyoHuu ni upuuzi, hao inawezekana wameuwawa; sasa badala ya kufanya uchunguzi kujua muuwaji wao wanarahisisha tu