Mama afia lodge na mme wa mtu



Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
Labda alikuwa anafanya TRACE ROUTE na KU-PING PRIVATE IP naona imegoma

We Finest.............hebu piga picha yule mwalimu kule Mkwawa! Anakumbuka ni mara ngapi Mabere alikuja KU-TRABOSHOOT computer yao pale home wakati yeye akiwa safarini kikazi! Haifai kucheka lakini Finest umenichekesha!
 
We Finest.............hebu piga picha yule mwalimu kule Mkwawa! Anakumbuka ni mara ngapi Mabere alikuja KU-TRABOSHOOT computer yao pale home wakati yeye akiwa safarini kikazi! Haifai kucheka lakini Finest umenichekesha!

Jamaa atasema kumbe ndio maana mshikaji alikuwa anakuja sana akianza ku-memorise mambo ni vingi vitakavyomuijia kichwani
 
Jamaa atasema kumbe ndio maana mshikaji alikuwa anakuja sana akianza ku-memorise mambo ni vingi vitakavyomuijia kichwani


We acha tu!

......Atawaza pia na ndo maana siku ile walika muda mrefu sana kwenye ile computer ya chumbani wakati mie naangalia game ya Liverpool!
 
We acha tu!

......Atawaza pia na ndo maana siku ile walika muda mrefu sana kwenye ile computer ya chumbani wakati mie naangalia game ya Liverpool!
Ha ha ha wewe unamcheki Roy Hodgson watu wanafundishana kufanya CONFIGURATION ROUTER ZA CISCO
 
ilo neno linatumika na umri wowote mie mwenyewe ni umri ulioenda shule ila maneno yote nayasikia labda uwe unakaa mbali na mjini hapo nitakuelewa au TV yako haishiki TBC1

Hiki si kitu cha kubishana. Si lazima kwa vile wewe na wenzako mnalitumia basi wote tuwe tunalitumia. Mimi silitumii na ninakushukuru kwa kunifahamisha. Hayo ya kukaa mbali na mji au kuwa TV ambayo haujui kama ninayo au sina haishiki TBC1 hayana tija kwako na kwangu. Naomba tuishie hapa.

Amandla....
 
mbona zogo tena kama una jambo waatafuta,ushapewa maana maneno mengi ya nini
 
Hivi inakuwaje mkeo akishapewa taarifa kuwa umefiwa na kimada hotelini na umewekwa ndani, je itakuwaje? nadhani jamaa anaweza akaombea akae tu ndani ni bora kuliko msala ambao unamsubiri home kwake ambao ni zaidi ya jela

Kipimo kizuri kama mkewe anampenda kwenda!
 
Wadau wote wa Infii inabidi tuungane tukamwekee dhamana mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…