LUSAJO L.M.
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 272
- 129
Habari zilizotufikia zinasema kwamba kuna mama mmoja amekamatwa na shahada feki nyingi na kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi Urafiki. Tutaendelea kuwapa taarifa yanayotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kada wa CCM uyo bse kuiba ni jadi yao kuanzia EPA,RICHMOND,MEREMETA