Elections 2010 Mama Akamatwa na Shahada Feki Sinza

Elections 2010 Mama Akamatwa na Shahada Feki Sinza

LUSAJO L.M.

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2007
Posts
272
Reaction score
129
Habari zilizotufikia zinasema kwamba kuna mama mmoja amekamatwa na shahada feki nyingi na kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi Urafiki. Tutaendelea kuwapa taarifa yanayotokea.
 
Atakuwa kada wa CCM uyo bse kuiba ni jadi yao kuanzia EPA,RICHMOND,MEREMETA
 
Mhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, this mwaka, balaa tupu!
Huko mwanza wananchi walalamikia vituo hewa vingi. Source Channel 10.
 
Siyo hivyo tu wamenunua kadi nyingi sana, na zingine wemechukua namba halafu wakabadilishe namba watu wasipige kura. hao ndo wezi, halafu hawajiamimi kabisa.
Atakuwa kada wa CCM uyo bse kuiba ni jadi yao kuanzia EPA,RICHMOND,MEREMETA
 
yES WAKAMATWE TUUU HATUTAKI WATU WANAOINGIA MADARAKANI KIHUNIHUNI TUU!
 
sinza ukicheza hata walemavu toka sehemu zingine huletwa kwa ajili ya uchakachuaji:sad:
 
corrrupted nec, everywhere in the country same issues appear to be well organized.
 
hizo shahada zimeshatumika au bado? Kama zimetumika, hakuna faida ya kumkamata!
 
Alamsiki,,,,,,,,,,,CCM .............your time is up...............says your employer........a Tanzanian voter...............
 
Back
Top Bottom