Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwanamke mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni Mama wa msanii wa muziki Bongo, Hamisi 'Tajiri Chui' Mwelemi amekataa gari jipya alilopewa na mwanawe huyo, akidai kuwa zawadi hiyo inahusiana na shughuli za Freemason.
Akiwa na msimamo mkali, mama huyo alidai gari hilo "ni jeneza" na kuonya kuwa hataki kushiriki lolote linalohusiana na imani au makundi yasiyoeleweka.
Akiwa na msimamo mkali, mama huyo alidai gari hilo "ni jeneza" na kuonya kuwa hataki kushiriki lolote linalohusiana na imani au makundi yasiyoeleweka.