ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,021
- 1,978
Jamaa mmoja alimwambia mkewe: unaonaje tukajikumbushia zile enzi za uchumba wetu?
Mkewe akakubali kwa kusema "sawa sio vibaya"
Jamaa akamwambia mkewe "basi kesho tukutane saa 4 garden", mkewe akakubali. Siku ya pili jamaa akafika garden akamsubiri sana mkewe masaa mawili,lakini hakutokea.
Jamaa kesho yake akamuuliza mkewe "mbona hukutokea?" Mkewe akamjibu "mama alinkataza nistoke.
Mkewe akakubali kwa kusema "sawa sio vibaya"
Jamaa akamwambia mkewe "basi kesho tukutane saa 4 garden", mkewe akakubali. Siku ya pili jamaa akafika garden akamsubiri sana mkewe masaa mawili,lakini hakutokea.
Jamaa kesho yake akamuuliza mkewe "mbona hukutokea?" Mkewe akamjibu "mama alinkataza nistoke.