mama alinkataza nisitoke

mama alinkataza nisitoke

ustadhijuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
3,021
Reaction score
1,978
Jamaa mmoja alimwambia mkewe: unaonaje tukajikumbushia zile enzi za uchumba wetu?
Mkewe akakubali kwa kusema "sawa sio vibaya"
Jamaa akamwambia mkewe "basi kesho tukutane saa 4 garden", mkewe akakubali. Siku ya pili jamaa akafika garden akamsubiri sana mkewe masaa mawili,lakini hakutokea.
Jamaa kesho yake akamuuliza mkewe "mbona hukutokea?" Mkewe akamjibu "mama alinkataza nistoke.
 
Back
Top Bottom