Mama aliyezaa watoto7 akimbiwa na wanawe, aishia kutunzwa na mjukuu wa miaka8 - Kuzaa ni kitu kimoja na kupata furaha ya uzao wako ni kitu kingine!

Mama aliyezaa watoto7 akimbiwa na wanawe, aishia kutunzwa na mjukuu wa miaka8 - Kuzaa ni kitu kimoja na kupata furaha ya uzao wako ni kitu kingine!

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Mama amezaa watoto7 lakini hana hata wa kumjulia hali, tena katika maradhi yanayomsibu.

Hivi kweli waafrika wa Tanzania tumefikia hatua ya kushindwa kulea wazazi wetu!?

Yaani hii ni kinyume kabisa na mila na desturi zetu. Mgonjwa kiasi hiki kutelekezwa na watoto wake wa kuzaa! Inaumaaaa

Nimejikuta nalia machozi sababu ya huyu mama ila nimelia tena sababu ya huyu mtoto wa miaka nane aliyetelekezewa bibi yake amlee

Huyu mtoto alitakiwa kuwa shuleni jamani😥😥😥😥




Fuatilia kisa kizima hapa

 
Hii yote ni sababu ya chama chako pendwa, kilichotufikisha katika uchumi wa Kati ulioambatana na ongezeko la tozo za miamala, kupanda kwa mafuta, na kuwakamua wananchi


Miaka 2 iliyopita kulikua na hiyo tozo unayolamikia??


Nadhani wewe ni mtoto wa kwanza wale watoto 7 wa huyu mama..... ila kumbuka tuu kwamba uzee na maradhi sio vitu hiari
 
Miaka 2 iliyopita kulikua na hiyo tozo unayolamikia??


Nadhani wewe ni mmoja wa wale watoto 7 wa huyu mama..... ila kumbuka tuu kwamba uzee na maradhi sio vitu hiari
Mpaka hapo hujanielewa!

Nachofaham Mimi, hakuna mtu asiyempenda wala kumjali mamaake au babaake ( labda awe mshirikina)!

Usihukumu kabla ya kujua chanzo ni nin, Kuna watu wanaishi maisha magumu kuliko unavyofikir, wew kama uchum wako ni level ya Kati usifikir wote wako hvyo
 
Kwenye njaa hakunaga amani.

Hili ni funzo kwa wazazi kuchukia njaaaa
 
Wewe umefanya nini kumsaidia huyo mama kama umemhurumia kuliko wanae aliowazaa?
 
Mpaka hapo hujanielewa!

Nachofaham Mimi, hakuna mtu asiyempenda wala kumjali mamaake au babaake ( labda awe mshirikina)!

Usihukumu kabla ya kujua chanzo ni nin, Kuna watu wanaishi maisha magumu kuliko unavyofikir, wew kama uchum wako ni level ya Kati usifikir wote wako hvyo

Sijahukumu ila nimeshangaa

Haijalishi chanzo ni nini watoto7 wa kuzaa kumtelekeza mama mzazi sio jambo la kibinadamu
 
Wewe umefanya nini kumsaidia huyo mama kama umemhurumia kuliko wanae aliowazaa?

Nilichokifanya ni sadaka sio matangazo, na sasa nmekuwekea hapa ili na wewe ushiriki na Mungu akubariki
 
Sijahukumu ila nimeshangaa

Haijalishi chanzo ni nini watoto7 wa kuzaa kumtelekeza mama mzazi sio jambo la kibinadamu
Uko sawa kabisa mama D, ila wakumbushe pia viongozi wa chama chako walegeze suala la miamala, ili angalau watoto wa huyu Mama wawe wanamkumbuka Mama yao!

Inaskitisha Sana, ila watumie video hii viongozi wa chama chako ili wauone uhalisia wa maisha ya watanzania wanaowaongoza!
 
Nilichokifanya ni sadaka sio matangazo, na sasa nmekuwekea hapa ili na wewe ushiriki na Mungu akubariki
Sawa hongera. Ccm sasa mfanye mpango zile bima za afya mnazoahidi kila siku na mnazoandika kwenye ilani yenu mtumize.

Leo hii mngekuwa mmetimiza hata kidogo malalamiko ya kutelekezwa yasingekuwepo mama angepata matibabu vizuri tu.

Ccm mlaaniwe na vizazi vyenu.
 
Uko sawa kabisa mama D, ila wakumbushe pia viongozi wa chama chako walegeze suala la miamala, ili angalau watoto wa huyu Mama wawe wanamkumbuka Mama yao!

Inaskitisha Sana, ila watumie video hii viongozi wa chama chako ili wauone uhalisia wa maisha ya watanzania wanaowaongoza!

Watoto wa huyu mama wamemtelekeza kabla hata ya tozo mpya

Nadhani pia hii sio issue ya uchama na kama tukiifanya hivyo nitashangaa kwanini chadema hawajapata akili ya kujiongeza
 
Back
Top Bottom