Mama aliyezaa watoto7 akimbiwa na wanawe, aishia kutunzwa na mjukuu wa miaka8 - Kuzaa ni kitu kimoja na kupata furaha ya uzao wako ni kitu kingine!

Kweli watu tunatofautiana.. mama?? 🥺 🥺
 
No reasearch no comment,inasikitisha sana ni familia nyingi watoto ni wakubwa lakini wanapambana kazi hakuna na majukumu ni mengi....i do not judge anyone in this ila sisi kama vijana tusitegemee kulelewa na wanetu uzeeni,tufanye mambo tuweke akiba ya uzeeni pia wazazi wawe karibu na wanao mwanzo mpaka mwisho wa safari i guess something is behind the scene.
 
Hata kama watu ni masikini, kumuangalia mama/mzazi hakuangalii umasikini wa mtu.

Na hata mama alikosea katika malezi, hutakiwi kumlipa kwa ubaya hata kidogo
 
Kweli watu tunatofautiana.. mama?? 🥺 🥺

Son, kuzaa ni kitu kimoja na kufurahi uzao wako ni kitu kingine
Mungu awatunze watoto wetu hata msipungukiwe na upendo kwa familia
 

Kuna wakati hatuhitaji pesa wala mali ila tunahitaji upendo tuu toka kwa familia.... kwa tunaowaita wazazi, ndugu au watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…