Mpaka hapo hujanielewa!
Nachofaham Mimi, hakuna mtu asiyempenda wala kumjali mamaake au babaake ( labda awe mshirikina)!
Usihukumu kabla ya kujua chanzo ni nin, Kuna watu wanaishi maisha magumu kuliko unavyofikir, wew kama uchum wako ni level ya Kati usifikir wote wako hvyo