Mama amekuwa akigonjeka, kisa kutokufanya tendo la ndoa

Mama amekuwa akigonjeka, kisa kutokufanya tendo la ndoa

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,239
Mama mtu mzima afiwa na mme wake takriban miaka 13 iliyopita. Sasa toka katikati ya mwaka jana amekuwa akigonjeka kweli kweli. Sasa baada ya Mtoto wake moja kumpeleka hospital kwa vipimo, majibu ya Daktari yakawa ni haya. Mama yako ajafanya tendo la ndoa kwa miaka mingi. Pindi akifanya atapona na hata umwa umwa.
Mtoto wake amepanga kumpeleka mama yake kijijini kwao labda anaweza pata huduma hiyo.
Jee kutokufanya tendo la ndoa mda mrefu kuna madhara?
 
Mama mtu mzima afiwa na mme wake takriban miaka 13 iliyopita. Sasa toka katikati ya mwaka jana amekuwa akigonjeka kweli kweli. Sasa baada ya Mtoto wake moja kumpeleka hospital kwa vipimo, majibu ya Daktari yakawa ni haya. Mama yako ajafanya tendo la ndoa kwa miaka mingi. Pindi akifanya atapona na hata umwa umwa.
Mtoto wake amepanga kumpeleka mama yake kijijini kwao labda anaweza pata huduma hiyo.
Jee kutokufanya tendo la ndoa mda mrefu kuna madhara?

Is that a question?? wewe usipofanya hata miezi 2 hua unajiskiaje?
 

Sasa kama ndio hivyo mbona ni too general. Inabidi uelezee dalili za ugonjwa alio nao halafu ndio tuone kama kuna uhusiano. Kifui ni kwamba dogo hakuwepo wakati mama anaongea na Dr. na sisi hatujampata mama kumuuliza maswali so angalu weka dalili in detail.
 
Sasa kama ndio hivyo mbona ni too general. Inabidi uelezee dalili za ugonjwa alio nao halafu ndio tuone kama kuna uhusiano. Kifui ni kwamba dogo hakuwepo wakati mama anaongea na Dr. na sisi hatujampata mama kumuuliza maswali so angalu weka dalili in detail.
Dr akumjibu mama, Dr amemjibu mtoto wa mama. Hata mipango ya kumpeleka kijini mama ajui dhamira yake. Ila mtoto anajua wapo wazee ambao waliishi pamoja. Pengine itakuwa rahisi kushughulikiwa
 
1 Wakorintho 7: 8-9 [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kwa wale wasiooa na kwa wajane, ingekuwa vizuri wabaki kama mimi nilivyo. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
[/FONT]
[/FONT]
 
Huyo mama ana msongo wa mawazo na kwa kufanya mapenzi kunapunguza msongo kwani atapata burudani ambayo huwezi kuipata kwa vitu vingine zaidi ya kuupata hogo la jang'ombe
 
Dr akumjibu mama, Dr amemjibu mtoto wa mama. Hata mipango ya kumpeleka kijini mama ajui dhamira yake. Ila mtoto anajua wapo wazee ambao waliishi pamoja. Pengine itakuwa rahisi kushughulikiwa

Ndio maana nasema inabidi tupate taarifa zaidi. Hatuwezi kutegemea majibu yaliyotoka kwa huyo Dr (if at all he/she is a doctor) kwa sababu ameprove kuwa too unprofessional. Huwezi kumsikiliza mgonjwa mwenye akili timamu halafu unaenda kumpa majibu mtu mwingine kwa siri ilhali mgonjwa mwenye akiwa hajui ugonjwa wake ni nini? daktari wa namna hiyo inawezekana kwa kaisi kikubwa hata diagnosis yake siyo sahihi. Ukitutajia dalili alizokuwa nazo mama tunaweza kutoa ushauri amuona daktari gani. Huyo waliomuana kwanza ni pure msanii. Hapo hesabu kama mama bado hajamuona daktari...
 
basi wale mapadre na masista walioshika imani na wito wao kwa dhati, wangekuwa wagonjwa sasa hivi. hakuna ukweli hapo!
 
basi wale mapadre na masista walioshika imani na wito wao kwa dhati, wangekuwa wagonjwa sasa hivi. hakuna ukweli hapo!

Hivi mpaka leo ujui tu kwa nini Masister na Mapadre wanaishi kwa kutegemeana. Fanya utafiti
 
basi wale mapadre na masista walioshika imani na wito wao kwa dhati, wangekuwa wagonjwa sasa hivi. hakuna ukweli hapo!

Hata mie nilitaka ku comment hivi, lakini dadangu cacico kuna case nyingi sana za mambo ya ajabu yanayofanywa na makasisi hawa. Hili litarefusha sana huu mjadala...
 
Hakuna kipimo hospitali kinaweza onesha huo ugonjwa, labda kanselingi tu. Kwanza sio ugonjwa huo
 
basi wale mapadre na masista walioshika imani na wito wao kwa dhati, wangekuwa wagonjwa sasa hivi. hakuna ukweli hapo!

kwa habari ya kuoa na kuolewa wapo wale ambao wao ni matowaashi toka tumboni mwa mama zao na hao ndio wanaoweza kuwa waaminfu kwenye viapo vya usista lakini wapo wale waliofanywa na watu kuwa matowashi ambao hao ndo huwa mtihani mkubwa kwao ndo maana kuna wengine wanavunja vile viapo
 
Back
Top Bottom