Over my dead body.... uzuri wake wananijua nilivyo mtata!Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao
Mwenye uwezo wa kumsamehe mwanamke mzinzi ni Mungu pekee,wanaume hatutakiwi kuingilia kazi ya Mungu.kama ametubu na kujutia kosa lake, huna budi kumsamehe for the sake of your children. Akija mama mwingine anaweza akakuvuruga kuliko huyo.
Usithubutu kuufuata huu ushauri,mwanamke malaya piga chiniOngea naye tena,fanya uchunguzi kuwa kipindi chote hicho mlichotengana naye hajawahi kuwa na mpenzi mwingine tena...pimeni afya then mjenge familia.Samehe kama yupo tayari kuwa muaminifu,hakika naamini hatarudia tena ila ukioa mwingine anaweza akakutenda vivyo hivyo ukaona labda mama fulani asingerudia haya.Jipe moyo na mrudie mke wako
Natamani wanawake wangejua kwamba mwanaume wa kweli ni almost impossible kusamehe kusalitiwa na mkewe, it's just how men are built! Na ukitaka kuamini ninachosema just flip the story around that huyo mwanaume awe amecheat mwanzo, then mwanamke akaondoka nyumbani, wazazi wakamlazimisha arudi kwenye ndoa yake na kwa kulipiza sasa afanye yeye sasa usaliti mbele ya mumewe. Unadhani hiyo ndoa ingabakia?Msamehe, ona unavyohangaika mwisho utapata maradhi utakufa umwachie kila kitu.
Chukulia tu kiume, jikaze msamehe rudini chumbani ya huko mkapime ili uendelee na maisha.
Hakika hakuna mtu wa kuvumilia harufu ya mav.i ya mtu mwingine, hakuna mwanamke wa kuweza kumlea mtoto wa mwanamke mwingine.
Utaishia kufa mwanangu msamehe yaishe. Wapo wanaume wenzio wanaoumizwa zaidi yako lakini kwa ajili ya watoto wanavumilia tu. Jikaze mtoto wa kiume, yamalize.
Ukiona kosa moja (1), ujue kuna 100 (mia moja) ya aina hiyo yaliyofichika......Kalagha bhao.....Acha hizo wewe. Mwanaume unabeba kispika kutangaza matatizo ya ndoa yenu?!?!?!? Tena matatizo ya ndani kama hayo??
Hatuna wanaume siku hizi. Wanawake ndio wamekuwa walinda ndoa. Mwanamke akifanyiwa usaliti anavumilia weeee miaka kibao mwisho anakuwa kama chizi kwa kuishi na mtu anayempiga matukio muda wote. Mwanaume unapaswa kuvumilia "KOSA MOJA HALIACHI MKE."
Wanaume iweni na akili, kama umeoa mwanamke wa kibinadamu ujue kuna siku anaweza akaanguka katika dhambi ya uzinzi, km vile wewe mwanaume unavyoweza kuanguka katika dhambi hiyohiyo. Wote tunapaswa kukimbia dhambi na vishawishi vyake, lkn wale wanaoshindwa watubu na wasirudie tena. Mkeo ametubu wewe unajifanya una hasira sana...hufai kuwa mwanaume, hufai kuwa mume, hufai kiwa baba.....kosa moja haliachi mke.
Well said...fanya haya:
1.peleka watoto boarding school. hakikisha kila visiting day unakwenda kuwaona. jiandikishe shuleni kuwa wewe ndio ccontact person in case of anything kuhusu watoto japokuwa usimnyime nafasi ya mama kwenda kuwaona watoto shuleni
2.hama hapo nyumbani. tafta chumba/nyumba na ishi huko. nyumba hiyo acha huyo mama aishi na watoto wako. usimtimue.
3.watoto wakiwa likizo waache wakae kwa mama yao
4.tunza familia muda wote watoto wanapokuwa likizo.likizo ikiisha na watoto kurudi shule, huyo mama usimpe matunzo yoyote kwa sababu hastahiki kwa muda huo,unless watoto wamerudi kwa dharura nyumbani kama ugonjwa nk.
5.watoto wakiwa likizo , hakikisha una spend muda mwingi nao na toka nao out mara kwa mara kwa michezo, kutembelea ndugu nk. show them love , kumbuka mama ndie atakuwa anakaa nao nyumbani likizo hivyo kuwa nao muda mwingi, usipoonesha love mama ni rahisi kuwaspoil watoto na wakakichukia.
mwisho: ugomvi wenu na visirani vyenu visiwahusishe watoto, they are very innocent , mbele yao mnatakiwa mbehave in a very mature way.
Ni ubinafsi tu!! Ww unamuacha kwa ubinafsi wako bila kujali watoto , tesekq ww Acha watoto waenjoy na mama yao.Huu ushauri sio kwa kweli.
Mke Malaya HARUDIWI.
#YNWA
Keshajifunza huyo. MSAMEHE, MRUDISHE NA WATOTO WARUDI MAISHA YAENDE MKUU..Wakuu habari zenu,
Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.
Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.
Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.
Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.
Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.
Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.
Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi
Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.
Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?
Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?
Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.
Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Wanaume wengi tu hawaishi na mama za watoto Ila watoto WANA-ENJOY.Ni ubinafsi tu!! Ww unamuacha kwa ubinafsi wako bila kujali watoto , tesekq ww Acha watoto waenjoy na mama yao.
Braza msalala kwetu hebu njoo utupe mrejesho basi wa episode zilizofata.Sikuja kuomba ushauri kuhusu msamaha, swali langu liliuliza nimtoeje kwangu huyu mwanamke aliekatalia kwangu? Thats all
Ah wapi! Unisaliti halafu nikusamehe?kama ametubu na kujutia kosa lake, huna budi kumsamehe for the sake of your children. Akija mama mwingine anaweza akakuvuruga kuliko huyo.
Hivi mtu kwenye akili timamu anawezaje kuleta mwanaume mwingine kwenye kitanda anacholala na mumewe? Ina make sense hiyo? Alishindwa kwenda kugongewa nje huko au kulala kwa huyo mchepuko wake?Ni ubinafsi tu!! Ww unamuacha kwa ubinafsi wako bila kujali watoto , tesekq ww Acha watoto waenjoy na mama yao.
Roho mtakatifu atie ugumu katika Moyo wake asimsamehe msaliti.Roho mtakatifu aponye jeraha moyoni mwako na mmrudie mkeo.
Nyie mnaongea na Marehemu, kwa ujinga huo aliomfanyia mwanamke awe hai hadi leo?? Huyu atakua ashapigwa kipapai au sumu ya Panya ili aachie watu nafasi. Tokea 2016 hajaingia JF