Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa wanawapa RUSHWA , nakuhakikishia kama TAKUKURU ya familia ikiundwa hawabaki salama😁😁😁😁Wanaume wengi tu hawaishi na mama za watoto Ila watoto WANA-ENJOY.
#YNWA
Mimi mwenyewe nimeshangaa jamaa hekima aliyojaliwa maana sisi wengine wenye mioyo laini tungekuwa timeshaua kitambo.hakuna excuse kwa hili as kama mkewe angekua na nia swaafi angewasilisha hilo 'tatizo' kwa mumewe kwanza!
na nimpongeze tu mdau huyu wa JF kwamba mpaka sasa HANA KESI YA MAUAJI AU SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI mahakamani!
I feel you kabisa, ilo kosa halisameheki kabisaNashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira
Kuna mtu kutoka kanisani kwa ex wife aliwahi kuja kunihubiri nimsamehe huyo kahaba nilimpiga huyo jamaa hawezi kusahau alikimbia bila Viatu akipiga kelele za kuomba msaada
Nikisoma neno msamaha nasikia kichefuchefu kikali sana, hivyo naomba watu wasiliandike kabisa hilo neno