Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Ni mwanaume mjinga tu ndo humrudia mke mzinzi na ushahidi wa wazi kabisa. Mmekubali kuoa basi endesheni ndoa zenu kwa akili acheni kututia aibu wanaume
 
hakuna excuse kwa hili as kama mkewe angekua na nia swaafi angewasilisha hilo 'tatizo' kwa mumewe kwanza!
na nimpongeze tu mdau huyu wa JF kwamba mpaka sasa HANA KESI YA MAUAJI AU SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI mahakamani!
Mimi mwenyewe nimeshangaa jamaa hekima aliyojaliwa maana sisi wengine wenye mioyo laini tungekuwa timeshaua kitambo.
 
Nashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira

Kuna mtu kutoka kanisani kwa ex wife aliwahi kuja kunihubiri nimsamehe huyo kahaba nilimpiga huyo jamaa hawezi kusahau alikimbia bila Viatu akipiga kelele za kuomba msaada

Nikisoma neno msamaha nasikia kichefuchefu kikali sana, hivyo naomba watu wasiliandike kabisa hilo neno
I feel you kabisa, ilo kosa halisameheki kabisa
 
Back
Top Bottom