Siyo chaguzi zote za wazazi ni za heri, nyingine zinaangalia maslahi yao ....
Nilishawahi kuona movie ya wa-Nigeria (true story), Mama alimchagulia kijana wake mchumba. Bahati mbaya huyo mchumba alikuwa taahira (mentally retarded). Mama alifanya hivyo kwa malengo yake, kumbe alienda kwa mganga akapewa madawa na sharti ilikuwa ni kijana wake lazima aoe mke ambaye ni taahira.
Sio chaguzi zote za mzazi ni nzuri/ziko genuine, nyingine zinaangaalia maslahi ya Mama/wazazi na siyo maslahi ya kijana. Ukikubaliana nae, yeye atafaidika kwa kutimiza malengo yake, wewe utakuwa umebeba msalaba ambao utaujutia maisha yako yote.
Kwa wakristo, akifanya wrong choice ajue amejimaliza kwa kuwa huwa hawawezi ku-reverse maamuzi hayo mara baada ya kiapo mbele ya Padre/Mchungaji. "Until death do us part", ni maneno mabaya sana na ni kifungo cha maisha. Kwa sababu ya maneno hayo kuna watu huwa inafika anaombea mwenzi afe ili asonge mbele na maisha yake mengine.
Hehehe kwa sasa kujiexpress nimeacha maana nimeona sipati faida yoyote nimeamua kustaafu
Hongera mkuu kama umeamua kustaafu,ni jambo jema.
Wakuu nilistaajabu mama alipo nipigia simu na kuniambia nioe mchumba wangu wa zamani ambae tumesoma wote primary toka darasa la kwanza mpaka la saba secondary na kungineko tulisoma tofauti na kila mtu akaendelea kivyake lakini tunapigiana cmu na kupeana hi ishu kubwa mpaka tukatengena yeye ameokoka yupo na Yesu mm bado ananiita wa Mataifa nilimweleza ombi la maza hili kasema atakuja tuongee wadau mchango tafadhari.
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali
Sasa mpwa kwa mfano ukakubali ushauri wa mama. Huyu uliyenaye sasa itakuwaje? Manake namwona kama ana kamimba flani hivi.
Hahahaha huyu si niliwaambia alinibambikizia hako kamimba maana tokea nikatae mpaka leo yupo kimyaa sijui kweli alikuwa na mimba au alikuwa ananizuga maana kimyaa alikutana na mjanja ningeanza kuhudumia tambala unashangaa miezi inaenda mara mwezi wa 18 hajazaa.
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali
Nakubali wazee wanaona mbali, lakini unaweza ukaoa kumridhisha mama then ndoa isi-work out,
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali