Mama anasema nioe wa zamani

Apataye Mke Amepata Kitu Chema, Naye Amejipatia Kibali Machoni Pa Bwana!
Achana na mambo ya ..sijui express youself...voda to voda na mengineyo ya kishenzi mkuu.

Kaa chini, tuliza kichwa, dont rush...This is apermanent matter, na usijute baadae wala kumlaumu FULANI!..bE YOURSELF!
 


kweli ni maneno makali lakini siombei afe na wala hayo maneno hayatanifanya nifikie hali ya kujifia......ikishindikana kwa upande wangu nitatengua maneno...tutakuja kuzikana tu.
 
mie cjui kwanini cpendi hiyo dana ya kuchaguliana wachumba, nadhani kila mtu amtangulize Mungu wake aombe apate mke/mume mwema, mambo ya kuchaguliana yanakuaga na matatizo msururu......kwanini kanza mama akucahgulie?wengi wanaingia kwenye ulokole cku hizi kwa ajili ya mambo fulani fulani tu....
 

At the end of the day kaka, kwani mama ndio anaoa si wewe? Do you feel the girl/woman? Usitake niamini kuwa analosema mama ndio tiki.
 
At the end of the day kaka, kwani mama ndio anaoa si wewe? Do you feel the girl/woman? Usitake niamini kuwa analosema mama ndio tiki.

Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali
 
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali

Sasa mpwa kwa mfano ukakubali ushauri wa mama. Huyu uliyenaye sasa itakuwaje? Manake namwona kama ana kamimba flani hivi.
 
Sasa mpwa kwa mfano ukakubali ushauri wa mama. Huyu uliyenaye sasa itakuwaje? Manake namwona kama ana kamimba flani hivi.

Hahahaha huyu si niliwaambia alinibambikizia hako kamimba maana tokea nikatae mpaka leo yupo kimyaa sijui kweli alikuwa na mimba au alikuwa ananizuga maana kimyaa alikutana na mjanja ningeanza kuhudumia tambala unashangaa miezi inaenda mara mwezi wa 18 hajazaa.
 

Sasa kama umemtosa, si umkamatie huyo mdogo wake ZD ujiunge nasi kumtukuza Mungu?
 
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali

Nakubali wazee wanaona mbali, lakini unaweza ukaoa kumridhisha mama then ndoa isi-work out, utamlaumu mama? Inawezekana mama amemuona she's ok, na kuwa angemfaa mwanae (yaani wewe), kumbe ikawa wewe ndio humfai yeye! Ikaja kuonekana kazi ya mama ina doa bure. Kama yupo wa sasa naye unamuambia nini? Kuwa umeona siyo chaguo?
 
Nakubali wazee wanaona mbali, lakini unaweza ukaoa kumridhisha mama then ndoa isi-work out,

Unajua mama anaona miaka inazidi kwenda na mchumba wangu wa zamani yupo yupo tu na anatabia njema safi kabisa kuwa mwandani lakini tunatofautiana kidini yeye ameokoka mm bado ndo maana tupo mbali mbali lakini mama amemkubali na mm namkubali na yeye ananikubali mvutano upo kwenye dini ndo maana mm nimeamua kusaka kifaa kingine ila mama sijamwambia hilo.
 
Muoaji ni mm lakini ushauri, wosia na itifaki lazima vizingatiwe mama ameona mbali

Wewe bana huyu binti unamfahamu vema kuliko hata mama yako kwa sababu ushawahi kuwa nae.Na kwa maelekezo yako inaonyesha wewe mwenyewe ushamzimikia licha ya kuwa mama yako kasema.Kama binti atakubali wewe tangaza ndoa tu sie tusherehekee.Nyie mmetoka mbali bwana na waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…