majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 585
kidogo nidondoshe chozi...
nimekulia mtibwa pia,bt mimi baba yangu alitengana na mama.....niliyoyapitia kwa yule mama hayasimuliki.....kuna mengine ni kama hayo uliyoyasema......finally yule mama waliachana na mzee...hv sasa ni mama lishe pale manyinga.....nilienda last two months nikiwa na wife na mtoto wangu....km kawa toyota surf mbichi ilipopaki kwenye ule mgahawa......believe me,yule mama alizirai kwa aibu........
Nimemsamehe,bt namlaumu koz huwa nawaona wanawake km viumbe katili sana......hata mothers day huwa siielewi........aaaaasghrrrrrr....imenikumbusha mbaaaali sana...from the same place.....Mtibwa!!!
nimekulia mtibwa pia,bt mimi baba yangu alitengana na mama.....niliyoyapitia kwa yule mama hayasimuliki.....kuna mengine ni kama hayo uliyoyasema......finally yule mama waliachana na mzee...hv sasa ni mama lishe pale manyinga.....nilienda last two months nikiwa na wife na mtoto wangu....km kawa toyota surf mbichi ilipopaki kwenye ule mgahawa......believe me,yule mama alizirai kwa aibu........
Nimemsamehe,bt namlaumu koz huwa nawaona wanawake km viumbe katili sana......hata mothers day huwa siielewi........aaaaasghrrrrrr....imenikumbusha mbaaaali sana...from the same place.....Mtibwa!!!