Mama apoka ugombea urais kwenye kikao kisichokua rasmi.

Mama apoka ugombea urais kwenye kikao kisichokua rasmi.

kaputula

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
97
Reaction score
128
Wengi tulipoona uteuzi wa mtu mwenye tuhuma ya cheti feki cha uzamivu 'Phd' kua katibu mkuu wa ccm tukajua lazima kutakua na upigaji mizinga na mambo yasiyo sahihi kwenye ccm.
Wanaccm wengi wanataka kuona mkutano mkuu maalum utakaokua na ushindani na uwazi kuhusu kuchaguliwa mgombea urais. Kama inavyojulikana na wote mama hajapita kwenye tanuru la ugombea urais wa jamhuri kwenye chama. Amekua rais kikatiba baada ya mtangulizi wake kufariki dunia. Ukweli watanzania wengi wana kiu kumpata rais mtu mahiri na jasiri kama alivyokua Magufuli. Wanajua wapo watanzania wenye sifa aina hiyo na mama samia siyo huyo mtanzania.
Kilichofanyika leo huko Dodoma kwenye mkutano maalum wenye ajenda kujaza nafasi ya makamu mwenyekiti wa ccm kisha chawa wachache kumchagua samia kama mgombea urais 2025 ni kinyume kabisa cha utaratibu.
Wanaccm tunataka muda utakapofika kufuatana na kalenda ya tume ya uchaguzi kiitishwe kikao cha mkutano mkuu baada ya wanachama wote wanaopenda kugombea kua wagombea urais kupewa nafasi sawa. Hatutaki mawazo ya mabush lawyers kama mzee Makamba kuendesha chama. CCM ina katiba na taratibu zake. Lazima ziheshimiwe.
 
Waache wafu wazikane mkuu. CCM tayari imeshapata mgombea, Vyama vingine wajipange kuleta mgombea anayekubalika zaidi. Kulia lia hukuna msaada.
 
Wengi tulipoona uteuzi wa mtu mwenye tuhuma ya cheti feki cha uzamivu 'Phd' kua katibu mkuu wa ccm tukajua lazima kutakua na upigaji mizinga na mambo yasiyo sahihi kwenye ccm.
Wanaccm wengi wanataka kuona mkutano mkuu maalum utakaokua na ushindani na uwazi kuhusu kuchaguliwa mgombea urais. Kama inavyojulikana na wote mama hajapita kwenye tanuru la ugombea urais. Amekua rais kikatiba baada ya mtangulizi wake kufariki dunia. Ukweli watanzania wengi wana kiu kumpata rais mtu mahiri na jasiri kama alivyokua Magufuli. Wanajua wapo watanzania wenye sifa aina hiyo na mama samia siyo huyo mtanzania.
Kilichofanyika leo huko Dodoma kwenye mkutano maalum wenye ajenda kujaza nafasi ya makamu mwenyekiti wa ccm kisha chawa wachache kumchagua samia kama mgombea urais 2025 ni kinyume kabisa cha utaratibu.
Wanaccm tunataka muda utakapofika kufuatana na kalenda ya tume ya uchaguzi kiitwishe kikao cha mkutano mkuu baada ya wanachama wote wanaopenda kugombea kua wagombea urais kupewa nafasi sawa. Hstutaki mawazo ya mabush lawyers kama mzee Makamba kuendesha chama. CCM ina katiba na taratibu zake. Lazima ziheshimiwe.
Huo moto ujao February wa L.A cha mtoto.. Watavurugana mnoooo
 
Ila Jakaya wakati anahutubia alinena kwamba hawatavuruga utaratibu sana ni kidogo tu...


Cc: Mahondaw
 
Wengi tulipoona uteuzi wa mtu mwenye tuhuma ya cheti feki cha uzamivu 'Phd' kua katibu mkuu wa ccm tukajua lazima kutakua na upigaji mizinga na mambo yasiyo sahihi kwenye ccm.
Wanaccm wengi wanataka kuona mkutano mkuu maalum utakaokua na ushindani na uwazi kuhusu kuchaguliwa mgombea urais. Kama inavyojulikana na wote mama hajapita kwenye tanuru la ugombea urais wa jamhuri kwenye chama. Amekua rais kikatiba baada ya mtangulizi wake kufariki dunia. Ukweli watanzania wengi wana kiu kumpata rais mtu mahiri na jasiri kama alivyokua Magufuli. Wanajua wapo watanzania wenye sifa aina hiyo na mama samia siyo huyo mtanzania.
Kilichofanyika leo huko Dodoma kwenye mkutano maalum wenye ajenda kujaza nafasi ya makamu mwenyekiti wa ccm kisha chawa wachache kumchagua samia kama mgombea urais 2025 ni kinyume kabisa cha utaratibu.
Wanaccm tunataka muda utakapofika kufuatana na kalenda ya tume ya uchaguzi kiitishwe kikao cha mkutano mkuu baada ya wanachama wote wanaopenda kugombea kua wagombea urais kupewa nafasi sawa. Hatutaki mawazo ya mabush lawyers kama mzee Makamba kuendesha chama. CCM ina katiba na taratibu zake. Lazima ziheshimiwe.
Kwa hiyo safari hii hakuna hata kamati ya maadili, ile iliyokuwa inakqta majina ya wagombea?
 
Aisee kuna watu ni wajanja nyie, nimebaki kinywa wazi leo🤣🤣🤣
 
Mama alipiga mkwara kwa walioanza kampeni majimboni wakati yeye kafanya vivyo hivyo, very unfair.

Vv
 
Back
Top Bottom