"Mama Baleke" kuchezesha Simba na Yanga kesho

"Mama Baleke" kuchezesha Simba na Yanga kesho

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_2acc0ba1594b4f469d80283868fc7563_366444100_1230899694289208_267540701685042712_n.jpg

images.jpeg-1.jpg

Florentina alichezesha mechi ya Mtibwa akipigwa 3 na Baleke. Akachezesha mechi ya Ihefu Baleke akipiga 3 kati ya 5
Nimeanza kuwaonea huruma
 
Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.

Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
 
Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.

Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Unateseka ukiwa wapiiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lia taratibuu shost.
 
Simba na Yanga ni ANOTHER LEVEL….!!! Naamini hawezi kuleta upuuzi kma wa refa wa juzi…!!! La sivyo atapigwa hata ngumi…!!
 
Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.

Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Kama unaumia chomoa
 
Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.

Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Mbona kama umekata tamaa mapema..je mkichukua kombe nyie huyu mama atakuwa wa injiniaaaa soma hiyoooo....
 
Yanga kachezeni mpira acheni malalamiko yasiyo na miguu wala kichwa..kukimbilia kusema refa wa Simba ni kutojiamini
 
Yanga kachezeni mpira acheni malalamiko yasiyo na miguu wala kichwa..kukimbilia kusema refa wa Simba ni kutojiamini
Mnatuletea waamuzi wenu wa mchongo, halafu mnataka tunyamaze kimya!! Tutaongea tu.

Leo huyo mwamuzi wenu achague tu moja; kuchezesha kwa haki, au kufuata maagizo kutoka juu na hivyo kuiharibu mechi.
 
Kwanini tff inaendekeza Sana marefa wanawake....napendekeza mechi zote za yanga ziwe zinachezeshwa na marefarii wa kiume....tunawaendekeza Sana hawa viumbe kuamua mambo ya wakubwa.
 
Mnatuletea waamuzi wenu wa mchongo, halafu mnataka tunyamaze kimya!! Tutaongea tu.

Leo huyo mwamuzi wenu achague tu moja; kuchezesha kwa haki, au kufuata maagizo kutoka juu na hivyo kuiharibu mechi.
Timu malalamiko on fleek...ni kwamba mmeshalouwaaa kabla hamjaloweshwaa
 
Back
Top Bottom