OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Florentina alichezesha mechi ya Mtibwa akipigwa 3 na Baleke. Akachezesha mechi ya Ihefu Baleke akipiga 3 kati ya 5
Nimeanza kuwaonea huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapiiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.
Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Kama unaumia chomoaBila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.
Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Mbona kama umekata tamaa mapema..je mkichukua kombe nyie huyu mama atakuwa wa injiniaaaa soma hiyoooo....Bila shaka lengo la mlezi wenu Wallace Karia la kuhakikisha vidada vya mchongo vinawabeba kwa gharama yoyote ile, litatimia kwa mara nyingine tena.
Ila mwisho wa siku Bingwa wa ligi kuu atabakia kuwa Yanga! Tena kwa mara ya 3 mfululizo.
Mnatuletea waamuzi wenu wa mchongo, halafu mnataka tunyamaze kimya!! Tutaongea tu.Yanga kachezeni mpira acheni malalamiko yasiyo na miguu wala kichwa..kukimbilia kusema refa wa Simba ni kutojiamini
Teh teh teh 😂😂 noma sana hiiMama Baleke kwa mbaali anafanana na mama Hachraf Hakimi wa psg.
Maza maza,,maza huyo🎶🎵
Nguvu moja💪
Timu malalamiko on fleek...ni kwamba mmeshalouwaaa kabla hamjaloweshwaaMnatuletea waamuzi wenu wa mchongo, halafu mnataka tunyamaze kimya!! Tutaongea tu.
Leo huyo mwamuzi wenu achague tu moja; kuchezesha kwa haki, au kufuata maagizo kutoka juu na hivyo kuiharibu mechi.