Mama BIG kiboko ya wanawake mavuvuzela

Nimeomba na matarumbeta na escort hizi siku tatu nilizomkosa nahisi nimepungua mwili yale mahanjam

hahha na ivi ulivyokuwa bonge jaman ukipungua tena zaid ya hapo sijui itakuwaje?
 
hahha na ivi ulivyokuwa bonge jaman ukipungua tena zaid ya hapo sijui itakuwaje?

Aisee ungejua ni tofauti hivi wale mbuzi wa jana angekuwa amewatengeza Mama Big unategemea ingekuwaje
 
hahahaha!
mi nadhan huyo digidigi ndo angeulizwa!....
inaonekana ana data zote
teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!
 
MAMA BIGY is REBUKING THE DEVIL'S WORK!..........:smile:

Kwenye maneno ni kazi ya shetani ila kwa vitendo...we mzuka haujapanda na hujachoshwa na vuvuzela...kosa lako umenusa ukawa chizi hujui usemalo
 
teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!
hahahaha!
the finest ''damu-changa hiyo''.....
huko porini kila mtu ''atamuhitaji''
wanaojiita WAFALME WA MBUGA ole wao
 
teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!
Naona unaendeleza kampeni mbuzi kwa mbuzi sasa.
wafalme hawashindwi, na nikawaida ya digidigi kukimbia kimbia hovyo hata kama hawakimbizwi.
 
teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!

Rose najiandaa ila bigirita ndio anataka kugoma kuendelea kuwa mfadhili kisa aliongea ghafla na mama big juzi katika hali ya kutatanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…