Mama BIG kiboko ya wanawake mavuvuzela

Mama BIG kiboko ya wanawake mavuvuzela

Roya........nataka kutangaza nia:tape::tape::tape::tape::tape::tape:

Jioni njema bandugu
 
WAUME ZA WATU HAWAFAI BIBI WEWE ATAKUGEUZA TAMBALA LA KUSAFISHA MIGUU WAKAT ANAJITAYARISHA KWENDA KUPUMZKA KWA MAMA!!!!

Wako wanaotaka kuwa tambala la kusafishia miguu ili mradi wapate riziki yao...............................wengine wasema acha tubanane tu.................mambo ni magumu mno........................
 
Maji marefu, havuki mama b hapa! There z nothn she does that I cant do to my man!
hahahahaaa!!
.......and there is one thing that you do, that she wont do to your man.........UVUVUZELA.
 
Roya........nataka kutangaza nia:tape::tape::tape::tape::tape::tape:

Jioni njema bandugu

Hapa unaanza kupata mabusara mengi sana....wacha twende pm, kile kibabu chako kita:rip: kwa kisukari kikisoma hapa....
 
Hujanilink na Diana aisee.......
sasa unapeleka jogoo kwa diana au unakwenda PM na mjukuu?
tatizo lako ni kwamba, unataka kushika kote kote! kwingine waachie madereva tax wenzako baaanaaa!!
 
sasa unapeleka jogoo kwa diana au unakwenda PM na mjukuu?
tatizo lako ni kwamba, unataka kushika kote kote! kwingine waachie madereva tax wenzako baaanaaa!!

Jana alijifanya anawahi kushika sehemu sasa kuna madereva teksi wamewahi hadi barabara pia
 
Jana alijifanya anawahi kushika sehemu sasa kuna madereva teksi wamewahi hadi barabara pia

sasa unapeleka jogoo kwa diana au unakwenda PM na mjukuu?
tatizo lako ni kwamba, unataka kushika kote kote! kwingine waachie madereva tax wenzako baaanaaa!!

Dereva taxi baba gift banaaaaa....
Hivi kupeleka jogoo kwa Diana, kunazuia pm na MJ1?? (hata hivyo Diana itakua ni hisani ya NN)
BTW: Hapo kwa avatar yangu unaona mitetea mingapi...
 
Mama Big:

Nje ya mada: Hivi bado unaishi maeneo yaleyale karibu na kwa "afande"?
 
Wana GF wenzangu naona wengine wanaguswa sana na kuna nina mume wa mtu...kama mkewe hajafundwa akafundika anashindwa kumkabali mumewe mi hainihuu...akimpulizia vuvuzela mi namziba masikio...Nawatangazia wazi mama big kiboko ya mavuvuzela na waunaume hao wake zenu wakianza tu kelele njoo mi naziba sikio moja kwa ulimi na lapili kwa kidole

Duuuhhh!!!,,,he he hhehheh! wewe ni kiboko wallahi!
pheeewww!
 
Kumekucha!! Baada ya homa ya uchaguzi na matokeo matukio ni wakati wa burudani kwa kwenda mbele. Hii ndio Tanzania yetu maisha yanaendelea. raha tujipe wenyewe lol!!
 
Tuendeleze libeneke Mama Big maana safari hii hata Petra atabadilika kwa hofu ya kupoze mtu ......... :smile-big:
 
:doh::doh: Hivi mbona hili somo la madereva tax silielewi??..........me with my thick head:doh::doh::doh:

Am Banning myself.
 
:doh::doh: Hivi mbona hili somo la madereva tax silielewi??..........me with my thick head:doh::doh::doh:

Am Banning myself.

Poor thing .................... just drop me a line in my private box and 'll be there most agently ..........:wink2::tongue1:
 
Back
Top Bottom