Da Sophy anyone???
Where is asprin when you really need his wisdom!!
Akishaanza kujiita babu busara zinaevaporeti zote...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da Sophy anyone???
Where is asprin when you really need his wisdom!!
We Bigirita na kitambi chako si utaomba maji katikati ya shuguli wenzio wanaofika hupewa juithi na ndizi matunda kurudisha afya na maandalizi ya bao jingine
Askofu bwana asifiwe naomba maji ya baraka na unifanyie maombi niendele kutoa dozi kwa hawa jamaa
Umeishanusishwa?
Moyo wangu una ganzi ya kudumu
Ikimbie dhambi mpendwa... Mungu hapendi..
:A S angry::A S angry::A S angry:... Kaa mbali nami shetani
ha ha ha ha!aka dereva tax sio?
Ivi unategemea mwanaume atamwambia nungaembe eti huwa anamwita mkewe pia honey?
Ungekua japo na kauelewa kama kaharadani,usingekuja kujipigia mayowe.
Siku utakapokuja kuitwa BOSI na Machinga, kwa akili yako utakuja kuanzisha thredi mpya apa.
ha ha ha ha ha!...............ahh sasa tufanyeje?alianza kwa kukupa911 leo hapokei cl zako+na mimi kanichunia
basi tumkomoe au wewe unaonaje>.....ukitoka job njoo brazil afu :bowl::bowl::bowl::bowl:!!!!!!!!!!
usije na finest ..finest mwache manyanya sawa?
akimaliza kununa na sisi uku tushamaliza yetu kwa raha zetu!!!!!!
Usitishike bht.. Mimi huwa sinusi kama mbwa.
ha ha ha ha ha!...............
Kama kawaidaaaaaaaa......!
Nakufowadia meseji ya vitisho kutoka kwa roya sasa hivi....!
Naelekea polisi kuvhukua rb
nimetishiwa kifo
Mbona pilipili yakuwasha nawe hupo shamba...au kwa kuwa wewe upo kwa ndoa na huitwi majina hayo pole babu...nungaembe ni maneno ya watapa maji...ulichoambulia wewe nipete...huna muda hata wa kuosha hiyo kitu yako kutwa wakimbizana na kazi watoto na housigeli kitandani umechoka sana ukimpa kifo cha mende...ntakurekodia umwone mumeo anavyopewa vitu vya ukweli na mama Kubwa ndo utanishikia adabu
Huyu mfadhili masharti yake bana eti kisa mtu kasindikizwa uwanja wa ndege na pia kasikia mtu jumatano anaenda kupokewa ndio wanataka kunifanyia zengwe kwenye chama
ha ha ha ha ha!...............
kama kawaidaaaaaaaa......!
nakufowadia meseji ya vitisho kutoka kwa roya sasa hivi....!
naelekea polisi kuchukua rb
NIMETISHIWA KIFO
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?Athipilini...achipilini...aciplini anakazi uvinza kwa mjukuu wake
:smile::smile::smile:Mbona pilipili yakuwasha nawe hupo shamba...au kwa kuwa wewe upo kwa ndoa na huitwi majina hayo pole babu...nungaembe ni maneno ya watapa maji...ulichoambulia wewe nipete...huna muda hata wa kuosha hiyo kitu yako kutwa wakimbizana na kazi watoto na housigeli kitandani umechoka sana ukimpa kifo cha mende...ntakurekodia umwone mumeo anavyopewa vitu vya ukweli na mama Kubwa ndo utanishikia adabu
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?
babuuuuu uje ujibu shtaka maswala ya kunifanya niamini niko peke yangu kumbe una wajukuu wengine mi ctaki
Mbona pilipili yakuwasha nawe hupo shamba...au kwa kuwa wewe upo kwa ndoa na huitwi majina hayo pole babu...nungaembe ni maneno ya watapa maji...ulichoambulia wewe nipete...huna muda hata wa kuosha hiyo kitu yako kutwa wakimbizana na kazi watoto na housigeli kitandani umechoka sana ukimpa kifo cha mende...ntakurekodia umwone mumeo anavyopewa vitu vya ukweli na mama Kubwa ndo utanishikia adabu
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?
babuuuuu uje ujibu shtaka maswala ya kunifanya niamini niko peke yangu kumbe una wajukuu wengine mi ctaki