mimi bwana kila ninaporudi hme lazima nicimame kwenye kioski ninunue limbwata,nampelekea vuvuzela analikoroga NALINYWA MWENYEWE KWA RAHA ZANGU!tena huwa na mwambia aongeze doziKwenye maneno ni kazi ya shetani ila kwa vitendo...we mzuka haujapanda na hujachoshwa na vuvuzela...kosa lako umenusa ukawa chizi hujui usemalo
Asante kwa kumpa jibu stahikiMarehemu alisema kama wewe akaja kichwa kichwa...kwanza huna sifa za kupata huduma ya mama kubwa
Nidokeze basi vp lakini wingi wa maneno ama ni kweli mjuzi. Maana wajisifiao nao huwaga ka magogo. Sometime maneno meeeeeeengi mpaka unakuta umesha lala. Simba mwendapole!Fuata logistik hauwezi kupanda CLASS A wakati ulilipia CLASS C
Haaaaaaaa lol! Ha sense harufu huyo. Kwa hilo nimekomboka
Naona unaendeleza kampeni mbuzi kwa mbuzi sasa.
wafalme hawashindwi, na nikawaida ya digidigi kukimbia kimbia hovyo hata kama hawakimbizwi.
Mama Big bana umempata mwanaume mwenyewe mchovu basi unapiga mayowe weeeeee nakujiona wewe mjanja uje huku tukupe raha ya tope
Nina ant-dot.....unasemaje sasa. huna sababu ya kuishi na moyo wenye ganzi wakati kuna watu wanaweza kuurudisha katika hali ya kawaida.Moyo wangu una ganzi ya kudumu
The Following 3 Users Say Thank You to Mama Big For This Useful Post:
Marehemu alisema kama wewe akaja kichwa kichwa...kwanza huna sifa za kupata huduma ya mama kubwa
nidokeze basi vp lakini wingi wa maneno ama ni kweli mjuzi. Maana wajisifiao nao huwaga ka magogo. Sometime maneno meeeeeeengi mpaka unakuta umesha lala. Simba mwendapole!
Huyo wangu wa ubani namfunda soon ataqualify itakuwa tishio kwa wake zenu mtawafungia ndani
Wakenya nao bana kiboko. Alikuwa anataka kukimbia mpini nin?Yatakupata yaliyompata huyu MAMA KUBWA....Alipokumbana na VUVUZELA la chuma
Mzarau mwiba....usiandareti maumivu...
Yaani nakwambia huyu akimkamata B atakuwa kama beberu
acha tuAisee ungejua ni tofauti hivi wale mbuzi wa jana angekuwa amewatengeza Mama Big unategemea ingekuwaje
Me need that not.....mmmmmmh!Nina ant-dot.....unasemaje sasa. huna sababu ya kuishi na moyo wenye ganzi wakati kuna watu wanaweza kuurudisha katika hali ya kawaida.
Note: uzoefu nimeupata kutoka kwa Mama big