Mama BIG kiboko ya wanawake mavuvuzela

Kwenye maneno ni kazi ya shetani ila kwa vitendo...we mzuka haujapanda na hujachoshwa na vuvuzela...kosa lako umenusa ukawa chizi hujui usemalo
mimi bwana kila ninaporudi hme lazima nicimame kwenye kioski ninunue limbwata,nampelekea vuvuzela analikoroga NALINYWA MWENYEWE KWA RAHA ZANGU!tena huwa na mwambia aongeze dozi
 
Fuata logistik hauwezi kupanda CLASS A wakati ulilipia CLASS C
Nidokeze basi vp lakini wingi wa maneno ama ni kweli mjuzi. Maana wajisifiao nao huwaga ka magogo. Sometime maneno meeeeeeengi mpaka unakuta umesha lala. Simba mwendapole!
 
Naona unaendeleza kampeni mbuzi kwa mbuzi sasa.
wafalme hawashindwi, na nikawaida ya digidigi kukimbia kimbia hovyo hata kama hawakimbizwi.

Huyu mfadhili naona anataka nifahamu kabisa kwamba hataki tena kuleta misaada kwangu orait sasa ngoja kwanza nimalise ile shughuli kwanza
 
Mama Big bana umempata mwanaume mwenyewe mchovu basi unapiga mayowe weeeeee nakujiona wewe mjanja uje huku tukupe raha ya tope

Huyo wangu wa ubani namfunda soon ataqualify itakuwa tishio kwa wake zenu mtawafungia ndani
 
Moyo wangu una ganzi ya kudumu
Nina ant-dot.....unasemaje sasa. huna sababu ya kuishi na moyo wenye ganzi wakati kuna watu wanaweza kuurudisha katika hali ya kawaida.

Note: uzoefu nimeupata kutoka kwa Mama big
 
haya maneno tu subiri wakuhasi ndo utakapoelewa zaidi
 
nidokeze basi vp lakini wingi wa maneno ama ni kweli mjuzi. Maana wajisifiao nao huwaga ka magogo. Sometime maneno meeeeeeengi mpaka unakuta umesha lala. Simba mwendapole!

mama big where you at
 
haya yangu macho! thread ina mvuto
 
Kwa hiyo finest saa izi wee wanukia kile kijasho cha beberu?
 
Aisee ungejua ni tofauti hivi wale mbuzi wa jana angekuwa amewatengeza Mama Big unategemea ingekuwaje
acha tu
naskia et teamo wale mbuz +visusio+supu yake vimemfanya awe mfup...!!!!
roya roy et kankalia kimya.....!!!!!!
 
Nina ant-dot.....unasemaje sasa. huna sababu ya kuishi na moyo wenye ganzi wakati kuna watu wanaweza kuurudisha katika hali ya kawaida.

Note: uzoefu nimeupata kutoka kwa Mama big
Me need that not.....mmmmmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…