Tetesi: Mama Chuma Ulete ameibuka mitaa ya kaloleni Arusha

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mama mmoja mweusi mfupi kiasi amekua kila ikifika jioni anapita kwenye maduka kuomba chenchi elfu moja au kuomba shilingi mia ili anunue pipi, ukimpa tu, baadae pesa zako zinasepa.

Au anaweza kukuomba chenchi ya mia tano...🤣yaani mia mia...akisogea kidogo anakurudia umpe mia mbili mbili..😂

Au chenchi ya elfu tano...🤣buku buku , akisogea tena anarudi anataka chenchi ya buku mbili mbili...au anakuomba tena chenchi anasahau alitoka kwako...

Kwa watu wanaofanya biashara mitaa ya baa za picnic, africana , arusha live kaloleni wanaweza kuwa wamemuona.

Familia yao inaishi vizuri sana mitaa hiyo hiyo ya kati ya africana na arusha live.
 
Kuna bibi wa 50years pale picnic ki pub cha mkono wa kulia....anatako balaa... ni mweupe peee.....nilimtifua kifusi usiku kucha kwa laki tu...weee hiii dunia mungu kaumba...ni ana tako balaa
Anaitwa zai,.... kuna akina flora, fetty,
 
Nje ya mada.
Sijafika Chugga siku nyingi hivi pale Shivers bado kuna meremeta kwa vichangu toka Mbulu mpaka sasa?
 
Akaombe Chenji BOT asiwanyanyase walala hoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…