Yaani mmmUmeona eenh
Ama walichukuliana wanaume na mama ake hamisaHuyo mama itakuwa alitembea na mwanaye maana akili zake zilivyo
Kweli mkuu mtoto mkali sana huyu...Huyo warumi Ni fan wa Zari so lazima amchukie Hamisa as if yeye ndio kaibiwa bwana ( in wanawake voice). Diamond amcheat Zari kwa Hamisa lakini anayeumia awe warumi hii inanichekesha Sana.Hiv mtoto mzuri Kama Hamisa mobetto utasemaje ameiba bwana? au EvilSpirit kweli unaweza ukaibiwa na Hamisa mobetto?
Ila huyu mtoto ni mkali aisee [emoji91] [emoji91]Acha kumfananisha Zari na huo uchafu usiojielewa
Ila huyu mtoto ni mkali aisee [emoji91] [emoji91] View attachment 1603133
Wenzako wakina nani....Majina hayo huko kwa wenzetu wanashindwa kuyatamka ndiyo maana hawayatumii
Na wewe Unamtafuta warumiHaaaaa Haaaaa [emoji23] [emoji23] hallo
Magufuli mitano tenaMI NACHOJUA TAREHE 28 NI SIKU YA KUPIGA KURA NA KUMCHAGUA MGOMBEA MWENYE SERA MAKINI
Kasome huko nilikoanziaWenzako wakina nani....
Ukoo wenu kuna tatizo pahala,bibi yako anamuhitaji diamond kimahusiano,maza ako anamuhitaji diamond kimahusiano,wewe unamuhitaji diamond kimahusiano,kudanga gani huku na nyie,yaani ukoo wote wadangaji mpaka grandma umri umemtupa mkono lakini wapiUmekuja mbio kusoma thread ya tahira, kweli chizi hajijui
Simshabikii inzi yeyote hapo wote inzi wa chooni tu diamond,warumi,na hata mama yake diamond.Yeye mobeto natamani tunda lake nilile kimasiharaMashabiki vilaza
Hii ianze na innocent dependent vinginevyo akiacha atalala njaaBaba zenu wangetafuta pesa msingekua mnajidhalilisha kwa wanaume maskin wakubwa nyie
Na wewe Unamtafuta warumi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hii ianze na innocent dependent vinginevyo akiacha atalala njaa
Ila huyo bibi kizee ni mjinga sana na limbukeni wa maisha
Kha!kha!,Umefika mbali mno mkuu.Hata km akutukanae hakuchagulii tusi,wewe umezidisha,hilo ni tusi kubwa sana.Huyo mama itakuwa alitembea na mwanaye maana akili zake zilivyo
Mtoa mada wewe ni me au ke? kaa mbali na Hamisa ogopa watu waliokwisha jifunika shuka moja na kuhemeana kaaa mbali haswa............ atakapozaliwa wa pili ndio utajua hujui