Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Mada inamuhusu hamisa na mama dangote, zari katokea wapi?? Kasifiwa lulu hapo lakini umekazana na zari. Je wewe hauko obsessed na zari?
We utakuwa mshabiki wa Zari ndio maana unapaniki mwambie Warumi aache gubu na roho ya chuki kwa Hamisa si wote Ni ndugu chuki hazijengi.
 
Hata kwenye maisha Hamisa mobetto kampita

Kwa maisha gan ? Nyie ndo malumbuken wa Instagram , kutwa kuhangaika kulilia apewe pesa apige photoshoot ndo ana maisha mazuri huyo , sasa kama photoshoot tu analipiwa na mwanaume , halafu mnajinad ana maisha mazuri , sasa na akina zari wasemeje Jaman


Hoe misa is always wanna be , alijua akilala na domo atakua kama Zari , kumbe Ndo kwanza anazidi Kudhalilika kama dagaa wa kuzimu
 
Kweli simfikii, kwetu sisi hatuna shida , nimesoma shule nzuri na Niko vzur tu kifedha, shida ni huyo maskin mwenzako kulilia sehem ambayo hapendwi, halafu Maskin mbwa nyie mnanuka shida kazi kuiba waume za watu na kuroga, akili hamna, kazi hamna mambo hayaend mjin mpaka mroge mabaradhul wakubwa nyie wajaalana msiokua na haya
warumi wanaume wa watu wanaibwaje kwani?
 
Hamisa mzuri jamani
Kwenye wimbo wake huu mpya wa Ginger me, kuna sehemu anatoa miguno kama mtu anakazwa

Ile miguno huwa inanifikirisha sana akiwa kwa bed akilalama. Mie KE tuu inanivuruga 🙈🙈 sijui upande wa pili khali ipoje
Yaan hata akiwa sio fundi, kwa ile sauti tuu mtu unaibiwa hvhv
 
Hamisa mzuri jamani
Kwenye wimbo wake huu mpya wa Ginger me, kuna sehemu anatoa miguno kama mtu anakazwa

Ile miguno huwa inanifikirisha sana akiwa kwa bed akilalama. Mie KE tuu inanivuruga 🙈🙈 sijui upande wa pili khali ipoje
Yaan hata akiwa sio fundi, kwa ile sauti tuu mtu unaibiwa hvhv
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Anataka ku prove watu kuwa yuko karibu sana na Diamond na wametoka mbali , bitche she is dying of fame, Yan sijui akili zake ziko wapi maskin
Hivi mimba tatu zinaingiaje na kuharibika? Kina Tiffah Walikuwa hawajazaliwa? Bcozi kabla ya Mama Tifah penzi Tamu lilikuwa Kwa Wema.Akaja Zari penzi likanoga tukawaona hadharani na Sirini. Huyu aliingiaje Hadi kupewa mimba tatu zikawa sijatoka? Dai alikuwa anatafuta mtoto wa wa Aina gani? Bcoz Mimba yake ya NNE tulioona Dai akiikana. Kutegeshea Mimba ili Uolewe😩😩😩😩🤣🤣
 
mbona wao hawatuigi sisi?ulishawahi kusikia nigeria kuna mtu anajiita mwamakula,mkude,bakhresa,mengi,mo dewji,kinjeketile,urio,sanga,ngonyani?
Inawezekana wapo maana siwafahamu watu wote wa Nigeria. Ila nimesikia na kuona wazungu na black americans wenye majina ya Kiswahili.
By the way ikiwa tunaiga majina ya kizungu na Kiarabu mpaka Kihindi why not our fellow Africans.
 
Huyu mama huyu mtu gani ana vinyongo haviishi jamani

Haya nilisema tusiokuwa na team tujisomee comments tu kwa wenye team zao

Haya sasa yametimia

ni mpuuzi unajua mtu kakuzalia mjukuu si anyamaze tu
Ingekuwa mim angenitambua
 
ni mpuuzi unajua mtu kakuzalia mjukuu si anyamaze tu
Ingekuwa mim angenitambua
Hahaha kama hamisa alivyoshauriwa na mange kamkuta hamisa mpole tu

Na amuombe Mungu tu ampe maisha marefu diamond, aone mfano wa mama kanumba tu na kanumba.
 
Mama zetu huwa wana akili sana...ukiona mama ako anakuepusha na wanawake kama hvo ujue mama yako anakupenda.....

Nan asiejua kuwa hao wadada ni gold diggers....lazima mama amlinde mwanae na ndomana kijana hawez oa yule sabab wanawake wote waliomzunguka wanataka pesa zake na si upendo...wanataka ndoa ili waachane wagawane mali. Manina...mama diamond komaa hvyo hvyo
 
Back
Top Bottom