Mama Dangote kabla ya kuwa "star" alikuwa "bar maid"

Nilijua umeweka picha zake akiwa baamedi angalau ungetaja na bendi alizonengua, vinginevyo haya naona kama umeweka dharau flani hivi kuwa mama wa mtu alikua muhuni wa bar. Kubalini matokeo mama anakula natunda ya uchungu wa kuzaa na kulea mtoto. Sasa wanaume kumzungumzia huyu mama ni aibu sana au nanyie mnataka kuwa ma baamedi mzalishwe ili watoto waje kuwa mastaa na nyie mle bata?
 
Shamte anakula kwa kutumia uume wake.Mungu ana nguvu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…