Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
Nmechekaa!Unashuka nao jumla jumla?Hapo wakiwa pembeni lazma huwa wanakupa jina la mnoko.hha kama unawajua...wananiona mnoko fulan...lakini ni rafiki yao zaidi thou sipend ushout shout
nawaambiaga ngoja niwashukie kama mwewe wanacheka๐
Ukifikia menopouse utawahitaji tuu sababu mr wako ata hangout na spring chickensYaan jamani wanaume tulionao tuhakikishe hawaondoki mambo gani ya kuwa na vibenten ,ambavyo sipendi tuvijana tudogo
๐๐balaa..Nmechekaa!Unashuka nao jumla jumla?Hapo wakiwa pembeni lazma huwa wanakupa jina la mnoko.
Yaan jamani wanaume tulionao tuhakikishe hawaondoki mambo gani ya kuwa na vibenten ,ambavyo sipendi tuvijana tudogo
Wasipozingatia maelekezo wasukume ndani ufunge na mlango kabisaa.๐๐balaa..
Ukifikia menopouse utawahitaji tuu sababu mr wako ata hangout na spring chickens
Wasipozingatia maelekezo wasukume ndani ufunge na mlango kabisaa.
Hahaha!Yaelekea unapenda watata au?ni wito tu my dear huo unahitajika...hata mm nilishagunduaga siwez kbs kuinteract na watoto...mara nyingi unajikuta upo kwenye mikwaruzo isio na maana kbs... yaan mtu km mm natakiwa niwe na mtu mzima alafu mtata..ningenyooka na kuwa na adabu zaidi... kuliko kijana mwenzangu๐
Hahaha!Yaelekea unapenda watata au?
Haha!Wasikuletee hadithi za esopo,alfulela ulela na karumekenge alikataa kwenda shulehahahhaaa ww naww comedian tosha hahaa nafyekelea mbali cartoon zao๐๐
Hahaa!Afadhali umejigundua.Utata wako upo katika nini hasa hadi uhitaji mtata?hahaha hamna sipendi..ila nimegundua nahitaj watata maana na mm si haba ujue๐๐!
Haha!Wasikuletee hadithi za esopo,alfulela ulela na karumekenge alikataa kwenda shule
Nimecheka kwa sauti!Ukimwambia hivyo anajifanya kama anajikuna kweli?Au anatii matamko yako?hahahahaha.... na nchi ilivyovurugwa hivi wasinichoshe zaidi๐ ๐ imagine unamwambia mtoto wa 7 yrs usiniletee habari za alfulela ulela๐ ๐ atasema mom r u okey?whts that..we unaendelea kikandamiza na unafanya kama "unajikuna "hvi..huelew kitu๐ ๐ ๐ so funny
Hahaa!Afadhali umejigundua.Utata wako upo katika nini hasa hadi uhitaji mtata?
Nimecheka kwa sauti!Ukimwambia hivyo anajifanya kama anajikuna kweli?Au anatii matamko yako?
huyu mama daimond suruali hajaanza kuvaa leo mkuu, toka enzi hizo anaitwa sandra gubuHuyo chini aliyevaa suruali ndo huyo mama??
Spare my ribs!Mpaka hapo wewe kweli kamanda msukumia ndani mpole yeyote.Mtata atakufaa wakati wa jua na mvua.Mwendo wa revenge tu.Umenusurikaje kuvaa gwanda?๐๐๐ wengi wanasema manengelo mkorofi.. ila kidg its true.. nikimpata mpole nitamsukumizia ndani daily... sijui utata wangu upo wapi kwakweli... thou mie ni mtu mwema kbs...
i thnk malezi..hii mm naiamini..wakat nakua mwenzangu akinipiga nikienda kushtak kwa mama anasema na ww kampige..bas mm ni mwendo wa REVENGE TU๐๐...Too bad.. nimekuja gundua hyo ni mbya..nw wanangu wakipigana najivika uhakimu na kuwapatanisha..ambaye anakataa kupatanishwa namwambia sitakuletea zawad... malezi magumu sana jaman
Hahaa!Wote tumezichomekea za mheshimiwa anayetrend kwa sasahahaha mie nachomekea za mwanri hapa tu ๐๐
Spare my ribs!Mpaka hapo wewe kweli kamanda msukumia ndani mpole yeyote.Mtata atakufaa wakati wa jua na mvua.Mwendo wa revenge tu.Umenusurikaje kuvaa gwanda?